Mkuu kuoa imani tu,maana mademu wenyewe wa siku hizi vicheche,but kupunguza mawazo wwe oa ila na wwe ex akija jipendelee tu maana hujui mwenzako alikuwa wapi mchana kutwa!
huwa mie nashindwa kuelewa, watu wawili tena bado wapendanao na wanafahamu hili ni nini kinawashinda wakarudiana na kuendeleza penzi la dhati kuliko kujikomit kwa watu wengine na kuendeleza kujirusha eti ''kukumbushia penzi''....
Yaani sijawahi elewa hili kabisa!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.