Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 59,167
- 79,331
I asked myself the same question. Then I thought to myself, what can I do about it?How is this Kenyan News
Shukrani ya Punda ni......Wa South Africa hawajamuenzi Mwl Kama anavyostahiki
Mandela aligeuka Kuwa Kibaraka wa Mabeberu Muda mchache kabla ya kutolewa Gerezani
Tulipata faida gani?Tazama hapa Mwalimu JKN alivyokuwa anasaidia kupigania Uhuru wa Zimbabwe:
nini kilimfanya abadilike mwishoni wakati alipoteza zaidi ya miongo miwili lupango kwa kukataa ofa zao?. Kwenye kitabu chake anadai alikua tayari kufa kuliko kukubaliana na makaburuWa South Africa hawajamuenzi Mwl Kama anavyostahiki
Mandela aligeuka Kuwa Kibaraka wa Mabeberu Muda mchache kabla ya kutolewa Gerezani
nini kilimfanya abadilike mwishoni wakati alipoteza zaidi ya miongo miwili lupango kwa kukataa ofa zao?. Kwenye kitabu chake anadai alikua tayari kufa kuliko kukubaliana na makaburu
Sent using Jamii Forums mobile app
Inawezekana, kwa sababu wengi hawakuunga mkono msimamo wake kuhusu makaburu. Hata mke wake, mama Winnie, alipingana sana na usoft wake dhidi ya makaburu, inakuaje uwe rafiki na mtu aliyekutesa miaka yote hiyoAlishakata tamaa ya kutoka Na nguo ya ANC kumpigania ilianza kupungua ukilinganisha Na Miaka ya mwanzoni Na Pia alihisi Umri umeshamtupa Tena hivyo akaanza ku compromise Misimamo yake ya awali
I thought u vowed to not comment again on this section.How is this Kenyan News 🤔🤔