When Kasie is Deeply and Madly in Love 🥰

Kesie matata..hiyo ni mboga gani?... Maana naona viongo vya mboga TU...au Ni mboga ya bilinganya...au Ni kachumbari...

Au ndo inatwa stirfrie
 
Nenda kasahihishe mitahani huko...I and me ....
Nani amekuambia anasahihisha mkuu? Unaniataki kwa chuki utadhani nilikuuliza wewe? Mimi nataka kujifunza na ndo maana nikauliza swali, wewe unaleta stress zako kwangu,jifunze kuwa positive kwa michango ya wenzako,mitandaoni sio mahali pa kuletea stress za ugumu wako wa maisha mkuu,Bali ni sehemu ya kupunguza mawazo

Badili mtazamo wako mpendwa.
 
Nani amekuambia anasahihisha mkuu? Unaniataki kwa chuki utadhani nilikuuliza wewe? Mimi nataka kujifunza na ndo maana nikauliza swali, wewe unaleta stress zako kwangu,jifunze kuwa positive kwa michango ya wenzako,mitandaoni sio mahali pa kuletea stress za ugumu wako wa maisha mkuu,Bali ni sehemu ya kupunguza mawazo

Badili mtazamo wako mpendwa.
.
Kaanzishe darasa huko za kurekebisha grammer...

Ugumu wangu hiyo vipi?....

Kwendraaaaaaaa zako huko
 
Kesie matata..hiyo ni mboga gani?... Maana naona viongo vya mboga TU...au Ni mboga ya bilinganya...au Ni kachumbari...

Au ndo inatwa stirfrie

Rosti la mboga mboga Matata.......

In swags language, I would spell...

Matata Fried Veggies 🌶 🍅 😋
 
Back
Top Bottom