Naomba kuuliza kama kuna yeyote anafahamu kampuni inayotengeneza wheelchairs, vifaa vya kutembelea kwa wazee, walemavu Tanzania? Kama hakuna, ni kampuni/shirika lipi ambalo linaweza kufanya hivyo?
Kama unaitaji kununua nenda pale changimbe kabla ujafika darajani kunja kushto nenda mojakwamoja utaona maduka ya dawa na vifaa vya umeme else ukiwa mjini ni pm ntakuelekeza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.