Whatssap kwa computer sasa bila bluestack

Eric Mkomoya

Member
Oct 10, 2014
55
56
SASA UNAWEZA TUMIA WHATSAPP SAMBAMBA KWA SIMU JANJA NA KOMPYUTA YAKO






Kampuni mama ya mtandao wa facebook imetangaza muendelezo wa mbadiliko mazuri mapya kwa mtandao wa mawasiliano unaotumika kwa kasi sana wa whatsap

Mtandao wa whatsap unafanya vizuri ukiwa na rekodi ya watumiaji zaidi ya billion wanao tumia kwa Mwezi katika uwanda wao wa ujumbe, tatizo kubwa pale watu wnapopoteza simu na kutaka kuendelea kutumia mtandao huo ambapo ilibidi mpaka aidha ununue simu mpya au ushushe toka mtandaoni aplikakesheni ya bluestack ndo uweze kuipta whatssap tena katika kompyuta yako.

Habari njema ni kwamba siku ya jumanne facebook wametangaza kuleta mtandao wa whtasap katika kompyuta za mezani zinazotmia window 8 na kuendelea pamoja na bidhaa za apple mac os x9 (mavericks) na zaidi.
Unaweza kutumia simu yako na muda huo ukitumia whatsap ya kwenye kompyuta yako, pia unaweza kutumia shotikati, pia utapata taarifa fupi kuhusiana na lolote linaloendelea ktaika whatssap yako.

Kuipata whatssap ya kompyuta ya mezani ingia hhtps://www/whatsap.com/download baada ya kupata ifungue alafu uiskani qr code (fungua whtasap yako ya simu ingia kwenye halafu fungua whtsap web) kwa kutumia whtsap yako ya simu janja yako ya TECNO, hivyo unaweza iweka kwa chaji simu yako na kuendelea na kuchat kwa kompyuta

Kama whtsap yako ya kweny simu hii mpya pia inakuja nafasi ya kuchati na marafiki wakati simu yako ipo mfukoni hasa wale wa ofisini unaweza endelea itumia na simu ikawa inafanya mambo mengine.

SOURCE: Introducing WhatsApp's desktop app - WhatsApp Blog
 
mwanzo mlikuwa mnafosi. Hii sasa ndo official
mwanzo watu wengi walikua wanatumia bluestack ila hii kutumia web yao na kuscan bar code ni mpya, na pia message ukituma kweny simu ukienda kuwasha kwa bluestck unatakiwa kuverify na unaanza upya kurecover data...lakin hii mpya unatuka text pale pale unaendelea
 
Hii ya kuscan code ilikuwepo tangu zamani. Sijui kama kunajipya wameweka, shifa kwangu ilikuwa kila ukizima simi ukiwasha lazima uscan code. Na kudcan inachukua muda. Labda kama wamerahisisha. Wangefanya kama Teregram ningeona wamefanya big up
 
Hii ya kuscan code ilikuwepo tangu zamani. Sijui kama kunajipya wameweka, shifa kwangu ilikuwa kila ukizima simi ukiwasha lazima uscan code. Na kudcan inachukua muda. Labda kama wamerahisisha. Wangefanya kama Teregram ningeona wamefanya big up
kuscan ni dakiko zero tyu inakubali
 
Hiyo jumanne ambayo walitangaza ni ipi? Au umepaste habar ambayo ni ya kitambo ukaileta huku...hii ya kuscan hata window xp japo sasa haipo sokoni unafanya, na ni mda kidogo tokea hili lianze...
 
mwanzo mlikuwa mnafosi. Hii sasa ndo official
Rudi kwenye chanzo chako uangalie vizuri, mimi nina karibia mwaka natumia option hii na ilishatangazwa siku nyingi. Unachotakiwa ni kuwa na latest version ya browser yako na hata uwe na window xp itafanya kazi.
 
Hiyo jumanne ambayo walitangaza ni ipi? Au umepaste habar ambayo ni ya kitambo ukaileta huku...hii ya kuscan hata window xp japo sasa haipo sokoni unafanya, na ni mda kidogo tokea hili lianze...
Introducing WhatsApp's desktop app - WhatsApp Blog
Hii ya kuscan code ilikuwepo tangu zamani. Sijui kama kunajipya wameweka, shifa kwangu ilikuwa kila ukizima simi ukiwasha lazima uscan code. Na kudcan inachukua muda. Labda kama wamerahisisha. Wangefanya kama Teregram ningeona wamefanya big up
Introducing WhatsApp's desktop app - WhatsApp Blog verify
 
Introducing WhatsApp's desktop app - WhatsApp Blog ingia afu uje uniambie kama ni mwaka juzi,jana au jana au lini
Tatizo kubwa ambalo umelifanya ni kuto elezea kuwa hiyo ni application, ukifungua hiyo hiyo link wamerudia neno 'app' zaidi ya mara 15 lkn wewe kwenye translation yako ya Kiswahili hajasema kama ni application inayojitegemea. Whatsapp web ipo siku nyingi kwa kutumia browser hivyo hii ni application inayojitegemea
 
Nilijua ni ya kutumoa PC bila uhusiano wowote na simu.

Nilidhani kama unavyotumia mtandao wa facebook just a number tu hata kama simu haipo hewani.

Au haiko hivyo wadau hebu nipasheni kidogo...!
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom