Matumizi ya Vpn hayaruhusiwi kisheriaTunaangalia kwa kutumia VPN,easy
tupo telegram kwa raha zetuHili tatizo la WhatsApp, Facebook na Instagram kushut down kwa Mda wa lisaa hadi sasa litawahathiri sana wafanyabiashara wa Online
Hadi sasa haijafahamika tatizo aswaa la mitandao hiyo kuzimwa duniani kote ni nini
Kuna watu wamereset hadi simu wakijua maybe ni Network au cm imearibika ila laaa hashaa Apps zote zimeshut down
Wale wategemea hizi apps kufanya Biashara zao au kutangaza kazi zao basi litawahathiri kwa mda
Hii inatukumbusha kwamba tusitegemee mitandao tu mda wowote inaweza kuzimwa na ukabaki huna cha kufanya kwenye biashara yako
Ebu jiulize wakishutdown mwezi mzima hizi apps hali ya maisha na kiuchumi itakuwaje kwa wale wategemea mitandao hiyo kutangaza biashara zao na kujitangaza kupitia mitandao hiyo
Update Facebook, WhatsApp and Instagram wamecomfirm kwamba mitandao imeshut down kwa mda kutokana na Matengenezo na kuboresha apps hizo ndani mda mfupi kuanzia sasa zinarudi
Watetezi wa wachina watuletee mitandao ya huko tuanze kujimwayamwaya
umeonaeee.Hehehe kale kagrupu ketu naona wajumbe wanarudi JF kwa amani na upendo...
Wapi yaan Marekani akiamua kuisimamisha dunia apitie hapo fb, watsapp na Instagram azime ATA siku moja tu(24hrs)Watetezi wa wachina watuletee mitandao ya huko tuanze kujimwayamwaya
Na WhatsApp je?!! Mkoa niliopo hata WhatsApp ngoma haifanyi kazi tangu saa 12 unusu!!Hii ya leo sio TCRA, ni Facebook wenyewe wana matatizo ya kiufundi.
Mimi nime-restart zaidi ya mara 10 daadeq...