donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,031
- 21,499
Hello salam wakuu,
Habari za jioni. Ok, no need to get pissed off dada zangu, ila let's be honest mnakera katika tasnia nzima ya shopping. Juzi nilimsindikiza mdada flani hivi kwenda shopping, mbona nilijuta? Yaani mara kashika hiki, karudisha kashika kile kaacha mara kakupa hiki umshikie pembeni ilimradi karaha tupu. Tofauti na sisi wanaume, kama nimepanga kwenda kununua kitu flani eg. Jeans, nikifika hata sishoneshi nachagua jeans fasta nalipa naondoka zangu tofauti na kina dada who can take even 3-4hours kufanya selection tu af at the end of the day unakuta hata vile vingi alivyochagua ameishia kununua vitu vingine kabisaa. If u have hours to kill then you might just enjoy it kuangalia wanavohangaika kuchagua vitu lakini mzee if you have other plans, ni mara kumi ya foleni ya ubungo jinsi utavyochelewa.
N.B got love for y'all dada zangu wala msiniweke kitimoto its just food for thought as am heading to QC.
Jioni njema wakuu!
Habari za jioni. Ok, no need to get pissed off dada zangu, ila let's be honest mnakera katika tasnia nzima ya shopping. Juzi nilimsindikiza mdada flani hivi kwenda shopping, mbona nilijuta? Yaani mara kashika hiki, karudisha kashika kile kaacha mara kakupa hiki umshikie pembeni ilimradi karaha tupu. Tofauti na sisi wanaume, kama nimepanga kwenda kununua kitu flani eg. Jeans, nikifika hata sishoneshi nachagua jeans fasta nalipa naondoka zangu tofauti na kina dada who can take even 3-4hours kufanya selection tu af at the end of the day unakuta hata vile vingi alivyochagua ameishia kununua vitu vingine kabisaa. If u have hours to kill then you might just enjoy it kuangalia wanavohangaika kuchagua vitu lakini mzee if you have other plans, ni mara kumi ya foleni ya ubungo jinsi utavyochelewa.
N.B got love for y'all dada zangu wala msiniweke kitimoto its just food for thought as am heading to QC.
Jioni njema wakuu!