Gosbertgoodluck
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 2,855
- 401
WanaJF,
Kuna mdau mmoja amenihabarisha kwamba hali ya kifedha serikalini hususani kwenye mawizara na idara ni mbaya kupita kiasi. Inasemekana tangu bajeti ya mwaka huu wa fedha ilipopita mwezi julai 2010 hakuna fedha inayotolewa na serikali kwa shughuli yoyote ya maendeleo. Eti tangu mwezi julai 2010 watumishi wengi wa serikali wanasoma magazeti tu na kula mshahara. Mdau anaeleza kwamba kumbe hata wabunge waliomaliza muda wao katika bunge lililopita mpaka leo hawajalipwa mafao yao. Jamani wahusika ambao ni wanaJF tafadhali mtujulishe kuhusu suala hili, kama ni kweli?? Na kama ni kweli, kuna tatizo gani hapa na serikali ya jk?? Mbona wakati wa nkapa hali ya aina hiyo haikuwepo?? Kuna kitu kinafichwa hapa nini??
Kuna mdau mmoja amenihabarisha kwamba hali ya kifedha serikalini hususani kwenye mawizara na idara ni mbaya kupita kiasi. Inasemekana tangu bajeti ya mwaka huu wa fedha ilipopita mwezi julai 2010 hakuna fedha inayotolewa na serikali kwa shughuli yoyote ya maendeleo. Eti tangu mwezi julai 2010 watumishi wengi wa serikali wanasoma magazeti tu na kula mshahara. Mdau anaeleza kwamba kumbe hata wabunge waliomaliza muda wao katika bunge lililopita mpaka leo hawajalipwa mafao yao. Jamani wahusika ambao ni wanaJF tafadhali mtujulishe kuhusu suala hili, kama ni kweli?? Na kama ni kweli, kuna tatizo gani hapa na serikali ya jk?? Mbona wakati wa nkapa hali ya aina hiyo haikuwepo?? Kuna kitu kinafichwa hapa nini??