Boeing 747
JF-Expert Member
- Mar 30, 2018
- 3,510
- 9,348
Itabidi nyie 15 muungane mjifhange mumnunulie huyo dean hata ka passo akikaendesha tu anawakumbukaTulipomaliza chuo ilipita miezi 3, nikapata simu kutoka shirika moja kwamba unatakiwa kutuma barua ya maombi ya kazi, tumepata jina lako kutoka kwa Dean of faculty. Kumbe tulikua wanafunzi kama 15 hivi, hadi sasa watu bado wapo makazini.