What's the story: Ulipataje kazi unayofanya au uliyowahi kufanya?

Hadi sasa hivi nimeshafanya kazi sehemu nne.
1.Dar es Salaam.
Nilikua nimemaliza internship,nafasi za serikali hazijatoka wala nini, niko tu kitaani napiga daywaka za vijiweni za kuunga unga hapa na pale, ali mradi nisile wali mkavu. Kuna chuo fulani hivi wakawa wametoa tangazo wanataka Tutorial Assistants,nikatupia application yangu, mimi na mshikaji wangu wa karibu sana, tukaitwa interview wote wawili. Siku ya interview tumeenda pale chuoni,tunacheki majengo ya chuo yamechakaa kinyama,tunaulizana na mshikaji wangu,hawa wataweza kweli kutulipa mpunga wa kutosha? Tulifika pale mida ya saa tatu asubuhi, ila kuja kuingia kwenye interview mimi niliingia kama saa kumi na moja hivi jioni!! Nimechoka mbaya, na interview kiukweli haikwenda poa, nilimbwela mbwela Sanaaa!! (kumbuka hii ndio ilikua interview yangu ya kwanza kabisa tangu nimalize intern). Baada kama ya wiki moja hivi,nikapigiwa simu kwamba nimefaulu interview, niripoti hapo chuoni kwa ajili ya kusaini mkataba na kuanza kazi!! Mimi na mshikaji wangu wote tulipata;Ila sasa mshikaji wangu yeye akawa amepata nafasi pia Bugando Hospitali (yuko hapo hadi sasa), so akapiga chini kule, kwa vile mimi nilikua sina option,nikatimba, nikasaini mkataba (permanent and pensionable), nikaanza kazi rasmi. Salary haikua mbaya sana (ukizingatia ndio ilikua my first salary apart from zile posho za internship).
Tatizo la pale bwana:kwanza ilikua unakuja asubuhi, unakaa tuu ofisini hamna lolote unalofanya, hamna cha kufundisha, au kuelekezwa au chochote, unakaa tuu unacheza na laptop hadi mda wa kazi ukiisha unarudi home (chuo kilikua kimepata matatizo kidogo,so walizuiliwa kudahili na NACTE wanafunzi wa first year,ambao mimi ndo kuna somo ilibidi niwe nawafundisha). Tatizo lingine ikawa wanachelewesha mishahara balaa. Miezi mingine hadi tarehe 10 ndo kitu kinasoma!! Nilikaa pale miezi mitatu tuu, nikaona hapa nimeingia cha kike!! Nikasepa.
2.Arusha.
A small NGO fulani hivi ya Waingereza ambao wanajihusisha na projects mbalimbali za afya,elimu,biashara. Kama kawaida, niliona tu nafasi kwenye zoom, nikatupia application, nikaitwa interview nikaenda, after a week nikapigiwa simu nikaripoti kazini.
Hapa nilianza kazi kwa salary ambayo ni ndogo kuliko hata kazi ya kufundisha niliyoacha. Sema huku apart from salary,kulikua na viallowance vya hapa na pale vingi, pamoja na pesa za dili za hapa na pale.
Tatizo la hapa likawa country director wa Tanzania alikua na matatizo matatizo sana...!! Alikua anaendesha ile NGO kama kampuni ya kwake binafsi. Kelele nyingiiii, micro-management kwa sanaaa!!! I stayed with this organization for 5 months tuu, nikasepa.
3.Mbeya
Hii ilikua ni kliniki kwa ajili ya watoto, ambayo iko funded na International NGO moja ya Wamarekani. Na yenyewe niliona tangazo kwa gazeti, nika apply, nikaitwa interview, nikapanda basi from Arusha hadi Mbeya (the longest journey by bus i have ever experienced), tuliingia mbeya saa saba na nusu usiku, saa mbili asubuhi nikagonga interview, ilienda vizuri sana (i was very very confidence by this time nilikua nimezoea interviews tayari, na nimejiandaa kweli kweli, na nikaulizwa maswali yale yale kama bahati ya mtende). After two weeks, nikapigiwa simu nimefaulu interview niende Mbeya kuanza kazi. Hii kazi kwa kweli benefits zake zilikua nzuri mno compared na kazi zangu zilizopita. I stayed at this organization for 1yr and 4months, then I left. Sababu zilikua mbili tatu; Kwanza, kulikua hakuna uhakika wa funds za kuendeleza mradi kutoka kwa wamarekani kwa mwaka unaofuata (though walikuja kupata wakaendelea), lakini pia management ya hii organization ya hapa bongo walikua very discouraging kwa wafanyakazi, na wanadharau wafanyakazi.
4.Mbeya
Mradi mkubwa dealing with HIV/AIDS in the Southern Highlands zone. Na yenyewe niliona tangazo, nika apply, nikaitwa kwa interview, nikatusua. (sio kirahisi hivyo,hii ilikua mara ya pili kuitwa interview hii organization,na mara ya kwanza nilidunda). It has been 1 yr 9 months now, and still counting, and i can confidently say that this has been my dream job!!
N.B.
1.Hapa nimeandika kirahisi sana kwa kujumuisha zile interviews nilizofanikiwa tuu, but safari hii haijawahi kuwa rahisi kwangu, nitafungua uzi wa kuelezea my failures katika interviews kadhaa ambazo nimewahi kufanya na nikadunda, ili kuwatia moyo vijana wanaotafuta ajira sasa hivi wakomae na wasikate tamaa!!!
2.Katika kazi zote ambazo nimewahi kuzifanya kama nilivyoeleza hapo juu, Sijawahi hata mara moja kupata kazi kwa sababu ya kufahamiana na mtu fulani kwenye hiyo organization, au kupewa 'memo'. I was purely depending on applying for the jobs, na kuitwa kwenye interview panapo majaliwa, na kuonyesha uwezo wangu wakati wa interview!! Kwa hiyo pia vijana mnaotafuta, msikate tamaa kwamba hujuani na watu kwenye hayo ma organization, pambana kweli kweliz ipo siku utafanikiwa!!
Nimeipenda hii, kweli maisha mihangaiko
 
Hadi sasa hivi nimeshafanya kazi sehemu nne.
1.Dar es Salaam.
Nilikua nimemaliza internship,nafasi za serikali hazijatoka wala nini, niko tu kitaani napiga daywaka za vijiweni za kuunga unga hapa na pale, ali mradi nisile wali mkavu. Kuna chuo fulani hivi wakawa wametoa tangazo wanataka Tutorial Assistants,nikatupia application yangu, mimi na mshikaji wangu wa karibu sana, tukaitwa interview wote wawili. Siku ya interview tumeenda pale chuoni,tunacheki majengo ya chuo yamechakaa kinyama,tunaulizana na mshikaji wangu,hawa wataweza kweli kutulipa mpunga wa kutosha? Tulifika pale mida ya saa tatu asubuhi, ila kuja kuingia kwenye interview mimi niliingia kama saa kumi na moja hivi jioni!! Nimechoka mbaya, na interview kiukweli haikwenda poa, nilimbwela mbwela Sanaaa!! (kumbuka hii ndio ilikua interview yangu ya kwanza kabisa tangu nimalize intern). Baada kama ya wiki moja hivi,nikapigiwa simu kwamba nimefaulu interview, niripoti hapo chuoni kwa ajili ya kusaini mkataba na kuanza kazi!! Mimi na mshikaji wangu wote tulipata;Ila sasa mshikaji wangu yeye akawa amepata nafasi pia Bugando Hospitali (yuko hapo hadi sasa), so akapiga chini kule, kwa vile mimi nilikua sina option,nikatimba, nikasaini mkataba (permanent and pensionable), nikaanza kazi rasmi. Salary haikua mbaya sana (ukizingatia ndio ilikua my first salary apart from zile posho za internship).
Tatizo la pale bwana:kwanza ilikua unakuja asubuhi, unakaa tuu ofisini hamna lolote unalofanya, hamna cha kufundisha, au kuelekezwa au chochote, unakaa tuu unacheza na laptop hadi mda wa kazi ukiisha unarudi home (chuo kilikua kimepata matatizo kidogo,so walizuiliwa kudahili na NACTE wanafunzi wa first year,ambao mimi ndo kuna somo ilibidi niwe nawafundisha). Tatizo lingine ikawa wanachelewesha mishahara balaa. Miezi mingine hadi tarehe 10 ndo kitu kinasoma!! Nilikaa pale miezi mitatu tuu, nikaona hapa nimeingia cha kike!! Nikasepa.
2.Arusha.
A small NGO fulani hivi ya Waingereza ambao wanajihusisha na projects mbalimbali za afya,elimu,biashara. Kama kawaida, niliona tu nafasi kwenye zoom, nikatupia application, nikaitwa interview nikaenda, after a week nikapigiwa simu nikaripoti kazini.
Hapa nilianza kazi kwa salary ambayo ni ndogo kuliko hata kazi ya kufundisha niliyoacha. Sema huku apart from salary,kulikua na viallowance vya hapa na pale vingi, pamoja na pesa za dili za hapa na pale.
Tatizo la hapa likawa country director wa Tanzania alikua na matatizo matatizo sana...!! Alikua anaendesha ile NGO kama kampuni ya kwake binafsi. Kelele nyingiiii, micro-management kwa sanaaa!!! I stayed with this organization for 5 months tuu, nikasepa.
3.Mbeya
Hii ilikua ni kliniki kwa ajili ya watoto, ambayo iko funded na International NGO moja ya Wamarekani. Na yenyewe niliona tangazo kwa gazeti, nika apply, nikaitwa interview, nikapanda basi from Arusha hadi Mbeya (the longest journey by bus i have ever experienced), tuliingia mbeya saa saba na nusu usiku, saa mbili asubuhi nikagonga interview, ilienda vizuri sana (i was very very confidence by this time nilikua nimezoea interviews tayari, na nimejiandaa kweli kweli, na nikaulizwa maswali yale yale kama bahati ya mtende). After two weeks, nikapigiwa simu nimefaulu interview niende Mbeya kuanza kazi. Hii kazi kwa kweli benefits zake zilikua nzuri mno compared na kazi zangu zilizopita. I stayed at this organization for 1yr and 4months, then I left. Sababu zilikua mbili tatu; Kwanza, kulikua hakuna uhakika wa funds za kuendeleza mradi kutoka kwa wamarekani kwa mwaka unaofuata (though walikuja kupata wakaendelea), lakini pia management ya hii organization ya hapa bongo walikua very discouraging kwa wafanyakazi, na wanadharau wafanyakazi.
4.Mbeya
Mradi mkubwa dealing with HIV/AIDS in the Southern Highlands zone. Na yenyewe niliona tangazo, nika apply, nikaitwa kwa interview, nikatusua. (sio kirahisi hivyo,hii ilikua mara ya pili kuitwa interview hii organization,na mara ya kwanza nilidunda). It has been 1 yr 9 months now, and still counting, and i can confidently say that this has been my dream job!!
N.B.
1.Hapa nimeandika kirahisi sana kwa kujumuisha zile interviews nilizofanikiwa tuu, but safari hii haijawahi kuwa rahisi kwangu, nitafungua uzi wa kuelezea my failures katika interviews kadhaa ambazo nimewahi kufanya na nikadunda, ili kuwatia moyo vijana wanaotafuta ajira sasa hivi wakomae na wasikate tamaa!!!
2.Katika kazi zote ambazo nimewahi kuzifanya kama nilivyoeleza hapo juu, Sijawahi hata mara moja kupata kazi kwa sababu ya kufahamiana na mtu fulani kwenye hiyo organization, au kupewa 'memo'. I was purely depending on applying for the jobs, na kuitwa kwenye interview panapo majaliwa, na kuonyesha uwezo wangu wakati wa interview!! Kwa hiyo pia vijana mnaotafuta, msikate tamaa kwamba hujuani na watu kwenye hayo ma organization, pambana kweli kweliz ipo siku utafanikiwa!!
Safi sana aisee
 
I like also to share my story. ..

Wakati namaliza dip... Nlwaza nitapataje shavu ila kulkuwa na rafk yangu mmoja akanitonya anza kwa wahindi nikaona sio kesi... Nikazama kwa kanjibahi papu na cv zangu Mara nika start carrier salary Kama buku 6 daily basis... Pigika Sana pande Za mwenge. . Story Hapa na pale nikaaply Kiwanda kingine watu nyomi Mara mchujo tukabaki watatu tukapelekwa kwa mkurugenzi na kupewa pongezi na kuambiwa tutapigiwa cm. Mara nikapokea cm ya jamaa tulikuwa Nae kwenye kinyang'anyiro ananiuliza umepigiwa cm Aaaaah kwa masikitiko nikajibu sijapokea cm labda cjafanikiwa Jamaa hakuamini.

..Duuuuh ikawajoto Huku na Huku nikakata tamaa nanimesha choka na dau LA buku sita nikaandika application Za kutosha na kusambaza kila panapokuwa na ofisi za kiufundi..Nikakata ticket nisepe mkoani nikajipange home Mara kibaha,chalinze ,Moro cm ikaita nikapokea Kumbe neema njoo maeneo ya Mikocheni kwaajili ya interview chapu nikashuka na Kupanda Basi kurudi DSM kiulaini nika sign contract nikapoza machungu japo mshahara ulikuwa sio mkubwa Sana ila ultosha kwa kipindi hicho 2010 japo nilisha piga chini....
 
I like also to share my story. ..

Wakati namaliza dip... Nlwaza nitapataje shavu ila kulkuwa na rafk yangu mmoja akanitonya anza kwa wahindi nikaona sio kesi... Nikazama kwa kanjibahi papu na cv zangu Mara nika start carrier salary Kama buku 6 daily basis... Pigika Sana pande Za mwenge. . Story Hapa na pale nikaaply Kiwanda kingine watu nyomi Mara mchujo tukabaki watatu tukapelekwa kwa mkurugenzi na kupewa pongezi na kuambiwa tutapigiwa cm. Mara nikapokea cm ya jamaa tulikuwa Nae kwenye kinyang'anyiro ananiuliza umepigiwa cm Aaaaah kwa masikitiko nikajibu sijapokea cm labda cjafanikiwa Jamaa hakuamini.

..Duuuuh ikawajoto Huku na Huku nikakata tamaa nanimesha choka na dau LA buku sita nikaandika application Za kutosha na kusambaza kila panapokuwa na ofisi za kiufundi..Nikakata ticket nisepe mkoani nikajipange home Mara kibaha,chalinze ,Moro cm ikaita nikapokea Kumbe neema njoo maeneo ya Mikocheni kwaajili ya interview chapu nikashuka na Kupanda Basi kurudi DSM kiulaini nika sign contract nikapoza machungu japo mshahara ulikuwa sio mkubwa Sana ila ultosha kwa kipindi hicho 2010 japo nilisha piga chini....
Asante kwakutushirikisha mkuu,
 
Hadi sasa hivi nimeshafanya kazi sehemu nne.
1.Dar es Salaam.
Nilikua nimemaliza internship,nafasi za serikali hazijatoka wala nini, niko tu kitaani napiga daywaka za vijiweni za kuunga unga hapa na pale, ali mradi nisile wali mkavu. Kuna chuo fulani hivi wakawa wametoa tangazo wanataka Tutorial Assistants,nikatupia application yangu, mimi na mshikaji wangu wa karibu sana, tukaitwa interview wote wawili. Siku ya interview tumeenda pale chuoni,tunacheki majengo ya chuo yamechakaa kinyama,tunaulizana na mshikaji wangu,hawa wataweza kweli kutulipa mpunga wa kutosha? Tulifika pale mida ya saa tatu asubuhi, ila kuja kuingia kwenye interview mimi niliingia kama saa kumi na moja hivi jioni!! Nimechoka mbaya, na interview kiukweli haikwenda poa, nilimbwela mbwela Sanaaa!! (kumbuka hii ndio ilikua interview yangu ya kwanza kabisa tangu nimalize intern). Baada kama ya wiki moja hivi,nikapigiwa simu kwamba nimefaulu interview, niripoti hapo chuoni kwa ajili ya kusaini mkataba na kuanza kazi!! Mimi na mshikaji wangu wote tulipata;Ila sasa mshikaji wangu yeye akawa amepata nafasi pia Bugando Hospitali (yuko hapo hadi sasa), so akapiga chini kule, kwa vile mimi nilikua sina option,nikatimba, nikasaini mkataba (permanent and pensionable), nikaanza kazi rasmi. Salary haikua mbaya sana (ukizingatia ndio ilikua my first salary apart from zile posho za internship).
Tatizo la pale bwana:kwanza ilikua unakuja asubuhi, unakaa tuu ofisini hamna lolote unalofanya, hamna cha kufundisha, au kuelekezwa au chochote, unakaa tuu unacheza na laptop hadi mda wa kazi ukiisha unarudi home (chuo kilikua kimepata matatizo kidogo,so walizuiliwa kudahili na NACTE wanafunzi wa first year,ambao mimi ndo kuna somo ilibidi niwe nawafundisha). Tatizo lingine ikawa wanachelewesha mishahara balaa. Miezi mingine hadi tarehe 10 ndo kitu kinasoma!! Nilikaa pale miezi mitatu tuu, nikaona hapa nimeingia cha kike!! Nikasepa.
2.Arusha.
A small NGO fulani hivi ya Waingereza ambao wanajihusisha na projects mbalimbali za afya,elimu,biashara. Kama kawaida, niliona tu nafasi kwenye zoom, nikatupia application, nikaitwa interview nikaenda, after a week nikapigiwa simu nikaripoti kazini.
Hapa nilianza kazi kwa salary ambayo ni ndogo kuliko hata kazi ya kufundisha niliyoacha. Sema huku apart from salary,kulikua na viallowance vya hapa na pale vingi, pamoja na pesa za dili za hapa na pale.
Tatizo la hapa likawa country director wa Tanzania alikua na matatizo matatizo sana...!! Alikua anaendesha ile NGO kama kampuni ya kwake binafsi. Kelele nyingiiii, micro-management kwa sanaaa!!! I stayed with this organization for 5 months tuu, nikasepa.
3.Mbeya
Hii ilikua ni kliniki kwa ajili ya watoto, ambayo iko funded na International NGO moja ya Wamarekani. Na yenyewe niliona tangazo kwa gazeti, nika apply, nikaitwa interview, nikapanda basi from Arusha hadi Mbeya (the longest journey by bus i have ever experienced), tuliingia mbeya saa saba na nusu usiku, saa mbili asubuhi nikagonga interview, ilienda vizuri sana (i was very very confidence by this time nilikua nimezoea interviews tayari, na nimejiandaa kweli kweli, na nikaulizwa maswali yale yale kama bahati ya mtende). After two weeks, nikapigiwa simu nimefaulu interview niende Mbeya kuanza kazi. Hii kazi kwa kweli benefits zake zilikua nzuri mno compared na kazi zangu zilizopita. I stayed at this organization for 1yr and 4months, then I left. Sababu zilikua mbili tatu; Kwanza, kulikua hakuna uhakika wa funds za kuendeleza mradi kutoka kwa wamarekani kwa mwaka unaofuata (though walikuja kupata wakaendelea), lakini pia management ya hii organization ya hapa bongo walikua very discouraging kwa wafanyakazi, na wanadharau wafanyakazi.
4.Mbeya
Mradi mkubwa dealing with HIV/AIDS in the Southern Highlands zone. Na yenyewe niliona tangazo, nika apply, nikaitwa kwa interview, nikatusua. (sio kirahisi hivyo,hii ilikua mara ya pili kuitwa interview hii organization,na mara ya kwanza nilidunda). It has been 1 yr 9 months now, and still counting, and i can confidently say that this has been my dream job!!
N.B.
1.Hapa nimeandika kirahisi sana kwa kujumuisha zile interviews nilizofanikiwa tuu, but safari hii haijawahi kuwa rahisi kwangu, nitafungua uzi wa kuelezea my failures katika interviews kadhaa ambazo nimewahi kufanya na nikadunda, ili kuwatia moyo vijana wanaotafuta ajira sasa hivi wakomae na wasikate tamaa!!!
2.Katika kazi zote ambazo nimewahi kuzifanya kama nilivyoeleza hapo juu, Sijawahi hata mara moja kupata kazi kwa sababu ya kufahamiana na mtu fulani kwenye hiyo organization, au kupewa 'memo'. I was purely depending on applying for the jobs, na kuitwa kwenye interview panapo majaliwa, na kuonyesha uwezo wangu wakati wa interview!! Kwa hiyo pia vijana mnaotafuta, msikate tamaa kwamba hujuani na watu kwenye hayo ma organization, pambana kweli kweliz ipo siku utafanikiwa!!
Asante, naomba kuulza NG'Os Arusha, ofici zapatkana sehemu gani?
 
Nakumbuka ilikua kipindi cha kwenda field, kuna mwalim wangu wa chuo alinichunuku sana akaniunganisha, kweli nikapokelewa field nikafanya kwa wiki tatu tu nakumbuka nikatakiwa kurudi chuo kulikua na pepa nikawaaga kua narudi chuo baada ya kumaliza mwalim yule yule alinipeleka ofisi moja tukashindwana kwenye malipo nikampigia nikamwambia kilichojiri akanambia usichoke una wazo gan nikamwambia nataka kwenda kujaribu kuomba kule nilikokua nafanya field akanambia wazo zuri utakapofikia utanambia kweli nikaenda onana na mkurugenzi kupitia jina la huyo mwalim nikakubaliwa nikawa hapo
Mwalimu alikuwa mwanaume au mwanamke?
 
Kazi ya kwanza, walikuja darasani (kupitia kwa mkuu wa idala enzi hizo), FoE tukakusanya makaratasi yetu then usahili then nikapata kazi (wazungu), ya pili mshikaji aliiona imetangazwa gazetini... Nikaomba kwa kutuma CV tu... Nikaitwa nikafanya usahili nikaipata.... Ya tatu, idala yetu kwenye kazi ya pili ilikuwa OUTSOURCED... then tukahamia kwa muajili mpya... Ya nne, kuna jamaa alikuwa anafanya kazi ya kuitengeneza ofisi ya kampuni mpya inayoanzishwa, mwenye tenda ya matengenezo hayo, alikuwa ni supplier wa kampuni yangu ya tatu... Nikauliza wakaniambia, then nikampa CV akaipeleka... Baada y amiezi SITA nikaitwa kwenye usaili then nikaipata.... Ya mpaka sasa, kuna mtu nilikuwa naye kwenye ile ajira ya kwanza, akawa ametangulia huku niliko sasa.... walipokuwa wanahitaji watu wa aina yangu, wakaitangaza magazetini, lakini wakapata FRESH GRADUATES... wakati wao walikuwa wanataka mtu atakayeweza kuachiwa mitambo ( mwenye uzoefu) Basi aliponipigia simu kuniulizia kama namfahamu yeyote mwenye sifa wanazozitaka, NIKAMWAMBIA NTAKUJA MIMI MWENYEWE... BASI KWA VILE WALIKUWA WANAWATAKA WAWILI, THEN NIKAMTAFUTA NA MWINGINE ALIYEKUWA SUBORDINATE wangu kwenye ajira ya pili na ya tatu
 
Kazi ya kwanza, walikuja darasani (kupitia kwa mkuu wa idala enzi hizo), FoE tukakusanya makaratasi yetu then usahili then nikapata kazi (wazungu), ya pili mshikaji aliiona imetangazwa gazetini... Nikaomba kwa kutuma CV tu... Nikaitwa nikafanya usahili nikaipata.... Ya tatu, idala yetu kwenye kazi ya pili ilikuwa OUTSOURCED... then tukahamia kwa muajili mpya... Ya nne, kuna jamaa alikuwa anafanya kazi ya kuitengeneza ofisi ya kampuni mpya inayoanzishwa, mwenye tenda ya matengenezo hayo, alikuwa ni supplier wa kampuni yangu ya tatu... Nikauliza wakaniambia, then nikampa CV akaipeleka... Baada y amiezi SITA nikaitwa kwenye usaili then nikaipata.... Ya mpaka sasa, kuna mtu nilikuwa naye kwenye ile ajira ya kwanza, akawa ametangulia huku niliko sasa.... walipokuwa wanahitaji watu wa aina yangu, wakaitangaza magazetini, lakini wakapata FRESH GRADUATES... wakati wao walikuwa wanataka mtu atakayeweza kuachiwa mitambo ( mwenye uzoefu) Basi aliponipigia simu kuniulizia kama namfahamu yeyote mwenye sifa wanazozitaka, NIKAMWAMBIA NTAKUJA MIMI MWENYEWE... BASI KWA VILE WALIKUWA WANAWATAKA WAWILI, THEN NIKAMTAFUTA NA MWINGINE ALIYEKUWA SUBORDINATE wangu kwenye ajira ya pili na ya tatu
Mkuu uko vzr naona kila kazi uliyoapply ulifanikiwa kupata, vipi ishawahi kutokea kuna kazi uliapply ukaitwa for interview then ukakosa?, je nini siri ya mafanikio yako au ni mbinu gani uzitumiazo kujihakikishia ushindi, maana wengine hatujui tunakosea wapi unaitwa unafanya interview , na unahisi ulifanya vzr tu, lkn kazini huitwi. sorry kama ntakua nje ya mada
 
Nakumbuka ilikua kipindi cha kwenda field, kuna mwalim wangu wa chuo alinichunuku sana akaniunganisha, kweli nikapokelewa field nikafanya kwa wiki tatu tu nakumbuka nikatakiwa kurudi chuo kulikua na pepa nikawaaga kua narudi chuo baada ya kumaliza mwalim yule yule alinipeleka ofisi moja tukashindwana kwenye malipo nikampigia nikamwambia kilichojiri akanambia usichoke una wazo gan nikamwambia nataka kwenda kujaribu kuomba kule nilikokua nafanya field akanambia wazo zuri utakapofikia utanambia kweli nikaenda onana na mkurugenzi kupitia jina la huyo mwalim nikakubaliwa nikawa hapo
Hapa kutakua na rushwa ya ngono
 
  • Thanks
Reactions: vvm
Kazi ya kwanza, walikuja darasani (kupitia kwa mkuu wa idala enzi hizo), FoE tukakusanya makaratasi yetu then usahili then nikapata kazi (wazungu), ya pili mshikaji aliiona imetangazwa gazetini... Nikaomba kwa kutuma CV tu... Nikaitwa nikafanya usahili nikaipata.... Ya tatu, idala yetu kwenye kazi ya pili ilikuwa OUTSOURCED... then tukahamia kwa muajili mpya... Ya nne, kuna jamaa alikuwa anafanya kazi ya kuitengeneza ofisi ya kampuni mpya inayoanzishwa, mwenye tenda ya matengenezo hayo, alikuwa ni supplier wa kampuni yangu ya tatu... Nikauliza wakaniambia, then nikampa CV akaipeleka... Baada y amiezi SITA nikaitwa kwenye usaili then nikaipata.... Ya mpaka sasa, kuna mtu nilikuwa naye kwenye ile ajira ya kwanza, akawa ametangulia huku niliko sasa.... walipokuwa wanahitaji watu wa aina yangu, wakaitangaza magazetini, lakini wakapata FRESH GRADUATES... wakati wao walikuwa wanataka mtu atakayeweza kuachiwa mitambo ( mwenye uzoefu) Basi aliponipigia simu kuniulizia kama namfahamu yeyote mwenye sifa wanazozitaka, NIKAMWAMBIA NTAKUJA MIMI MWENYEWE... BASI KWA VILE WALIKUWA WANAWATAKA WAWILI, THEN NIKAMTAFUTA NA MWINGINE ALIYEKUWA SUBORDINATE wangu kwenye ajira ya pili na ya tatu
Nilichojifunza, kazi inaleta kazi.
 
Mkuu uko vzr naona kila kazi uliyoapply ulifanikiwa kupata, vipi ishawahi kutokea kuna kazi uliapply ukaitwa for interview then ukakosa?, je nini siri ya mafanikio yako au ni mbinu gani uzitumiazo kujihakikishia ushindi, maana wengine hatujui tunakosea wapi unaitwa unafanya interview , na unahisi ulifanya vzr tu, lkn kazini huitwi. sorry kama ntakua nje ya mada
Zipo nilizofanya na sikuitwa kwenye nafasi husika, tena siyo moja...
Kikubwa unapoomba kazi sehemu yoyote, at least uijue sehemu hiyo, kwa maana ya..
1. Mishahara imekaaje
2. Walio kazi qualifications zao zipoje
3. Main business ya mahala unapoomba ni nini..
4. Je wewe unakwenda kwenye surpoting function au main?
5. Unadhani qualifications zako zina exact march na kazi unayoomba?
6. What are the added advantages ulizonazo endapo atatokea mtu ana qualifications kama zako?

Kuna kazi zinataka sifa ambazo hazisemwi kwenye matangazo..... HUWEZI KUOMBA NAFASI YA MANAGING DIRECTOR KWENYE KAMPUNI KUBWA wakati HUJAOA/HUJAOLEWA... WENGINE HUWA NI SHIDA... HUU NI MFANO TU
 
Nilichojifunza, kazi inaleta kazi.
1. Bila kuwa vizuri na watu hutapata kazi popote
2. Unapokuwa kazini usimdharau mtu, hata kama ni mfagiaji tu (maana hawa ndo wanadharaulikaga sana)
3. Unapoacha kazi sehemu, hakikisha huachi kwa NYODO na MARINGO... huwezi jua unayemfanyia maringo au nyodo hapo unapoondoka, unaweza mkuta kwenye interview panel... Hiyo peke yake inakutoa kwenye line
4. Tujitahidi sana kutoacha kazi kwa 24hrs notice.... hainaga picha nzuri kwa unamuacha, na anayetaka kukuajili
 
Zipo nilizofanya na sikuitwa kwenye nafasi husika, tena siyo moja...
Kikubwa unapoomba kazi sehemu yoyote, at least uijue sehemu hiyo, kwa maana ya..
1. Mishahara imekaaje
2. Walio kazi qualifications zao zipoje
3. Main business ya mahala unapoomba ni nini..
4. Je wewe unakwenda kwenye surpoting function au main?
5. Unadhani qualifications zako zina exact march na kazi unayoomba?
6. What are the added advantages ulizonazo endapo atatokea mtu ana qualifications kama zako?

Kuna kazi zinataka sifa ambazo hazisemwi kwenye matangazo..... HUWEZI KUOMBA NAFASI YA MANAGING DIRECTOR KWENYE KAMPUNI KUBWA wakati HUJAOA/HUJAOLEWA... WENGINE HUWA NI SHIDA... HUU NI MFANO TU
Wow, thanks much kwa maelekezo mkuu
 
Kwanza angalia kampuni ambayo DIRECTOR wake au one of Directors hua anasali unaposali wewe, Pili uchague kampuni kulingana na taaluma yako kwamba. Siku ya ibada mtafute huyo Director akiwa WITHIN mosque or church area/compound, kwa kujiamini bila uoga uoga muombe appointment ofisini akikuuliza ni kuhusu nini mwambie kuhusu shida ya kazi na kwamba unaomba angalau hata nafasi ya kufanyiwa interview . Trust me uwezekano wa kukubaliwa ni mkubwa. Hawa matajiri wakiwa sehemu za ibada ni wasikivu saana na ukienda kuwatafuta ofisini kama huna wa kukuunganishia huwapati wakat wapo. Nimesema Directors kwa sababu mara nyingi ndo wana maamuzi ya mwisho au hata akimwambia HR kwamba msikilize huyu maombi yako yanakua highly considered.
ONYO: Kama hauko vizuri kichwani/Hujiamini vya kutosha usijaribu njia hio.
nimeelewa vizuri zaidi hili onyo lako_ sawa mkuu
 
Miaka kadhaa iliyopita nilimalimaliza digrii yangu uhandisi kutoka chuo kimoja kipichopo hapa Tz. Mwaka ukakatika niko tu home sina hata jero mfukon alafu nikiangalia vyeti vyangu basi napata hasira kweli!!

Nikawa najiuliza ni wapi nimekosea kwenye maisha? Ikaja interview ya kwanza nikaigwa chini, ya pili nikapigwa chini basi nikawa mpole nikaridi home kuugulia maumivu!!

Mwaka jana ajira utumishi zikatoka, daah nikawaza nirudi hadi chuo kuchukua cheti wakati sina hata buku mfukon....nikataka kupotezea, nikawaambia madogo majibu waliyonipa nikaumia kweli kweli... Hawakunielewa nilipowaambia nataka potezea ile post!!

Mpango ukafanyika nikapata nauli... Huyo mpaka chuo kichukua cheti!! Nikaaply...

Baada ya jina langu kutokea nikaanza kupiga msuli kama niko chuo... Nilipitia kila notes kila kitabu... Google na youtube vilikua rafiki yangu

Mungu si athman nikaitwa kwenye oral, daah swali likaja tena nauli ya kwenda dsm napataje? Anyways nikafanikiwa kupata... Safari ikaanza mpaka utumishi dsm!

Zamu yangu ikafika nikaitwa, nikapigwa maswali mengine napata mengine nakosea ila nilikua siachi kutoa jibu bila kujali la kwelj au la!!

Mwisho alikua anaongoza interview akaniambia "i like your comfidence" nikajua anazingua baada ya kukosea maswali!!

Nikatoka zangu huyo mpaka gesti nikajiandaa na safari ya kurudi home kesho yake...

Mwezi ukapita majib yakatoka, Mungu mkubwa jina langu nikaliona... Nilifurahi sana... Kama sio madogo kunipa moyo nisinge apply!!

Baada ya stress za kitaa sasa niko kazin kama mhandisi...

Nilichojifunza...

Kwenye interview yeyote JIANDAE vya kutosha pili wakati wa interview JIAMINI hata kama hujui jaribu kujibu...
 
Miaka kadhaa iliyopita nilimalimaliza digrii yangu uhandisi kutoka chuo kimoja kipichopo hapa Tz. Mwaka ukakatika niko tu home sina hata jero mfukon alafu nikiangalia vyeti vyangu basi napata hasira kweli!!

Nikawa najiuliza ni wapi nimekosea kwenye maisha? Ikaja interview ya kwanza nikaigwa chini, ya pili nikapigwa chini basi nikawa mpole nikaridi home kuugulia maumivu!!

Mwaka jana ajira utumishi zikatoka, daah nikawaza nirudi hadi chuo kuchukua cheti wakati sina hata buku mfukon....nikataka kupotezea, nikawaambia madogo majibu waliyonipa nikaumia kweli kweli... Hawakunielewa nilipowaambia nataka potezea ile post!!

Mpango ukafanyika nikapata nauli... Huyo mpaka chuo kichukua cheti!! Nikaaply...

Baada ya jina langu kutokea nikaanza kupiga msuli kama niko chuo... Nilipitia kila notes kila kitabu... Google na youtube vilikua rafiki yangu

Mungu si athman nikaitwa kwenye oral, daah swali likaja tena nauli ya kwenda dsm napataje? Anyways nikafanikiwa kupata... Safari ikaanza mpaka utumishi dsm!

Zamu yangu ikafika nikaitwa, nikapigwa maswali mengine napata mengine nakosea ila nilikua siachi kutoa jibu bila kujali la kwelj au la!!

Mwisho alikua anaongoza interview akaniambia "i like your comfidence" nikajua anazingua baada ya kukosea maswali!!

Nikatoka zangu huyo mpaka gesti nikajiandaa na safari ya kurudi home kesho yake...

Mwezi ukapita majib yakatoka, Mungu mkubwa jina langu nikaliona... Nilifurahi sana... Kama sio madogo kunipa moyo nisinge apply!!

Baada ya stress za kitaa sasa niko kazin kama mhandisi...

Nilichojifunza...

Kwenye interview yeyote JIANDAE vya kutosha pili wakati wa interview JIAMINI hata kama hujui jaribu kujibu...
Hongera muhandisi
 
Soon after graduation nilibahatisha namba ya bosi nikaomba kujitolea, kumbe huyo bosi alikuwa na ofisi nyingine nyingi zaidi ya ile niliyoifahamu.
Nilijitolea miezi kadhaa nikilipwa posho kidogo.

Baada ya kufanya kazi ilifika kipindi nikaona wana uhitaji wa wafanyakazi nikaacha kazi ya kujitolea nikatulia geto.
Baada ya siku mbili nikapigiwa simu nikaanza kazi rasmi.....
Soon naacha hii kazi nshapata exposure ya kutosha.
 
Back
Top Bottom