Don Mangi
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 2,198
- 852
Inaweza ikawa ni kweli. Lakini fuatilia ujue sakata la mtu wa kabila lingine kuoa au kuolewa na mchaga(ktk mila za kichaga).
Unamaanisha 'chasaka?'.
Inaweza ikawa ni kweli. Lakini fuatilia ujue sakata la mtu wa kabila lingine kuoa au kuolewa na mchaga(ktk mila za kichaga).
mkuu unadhani ur grandma atakuambia? siri yote anaijua ur grandpa!
huyo jamaa aliyesema
kilimanjaro wanakeketwa ni mpumbavu sana, na anachosema hakijui! pia
asije sahau tanzania hii bila wazawa wa k'njaro haiwezekani. watu
waliopiga hatua tokea enzi za mababu! my grandma is now 80's yrs old sh
no nothng abt ukketaji
K'njaro kubwa jamani ila kuna maeneo mengi K'njaro wanakeketa ingawa siku hizi wanapiga vita.
Mkuu wala hata sikutukani, mi
niliisikia pia nikastuka ikabidi niulize, na niliamua kumuuliza mtu
kutoka huko pamoja na kubisha mwanzoni baadae akasema ni kweli ingawa
akadai siku hizi inapungua