Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,261
- 7,195
Najaribu fikiria haya maigizo ya magamba, nowdays mizigo.Naangalia kuanzia kwa dhaifu ,nashindwa elewa itakuweje km Dhaifu ni mzigo(Na ni Mzigo),kuelekea chini ni mizgo tupu?
Je Mizigo itajipima vipi sasa?Watajipima kwa uzito wa mizigo?Wahat if km mzigo mzito utakuwa dhaifu je CCM watajinasua vipi?
CCM wamebadili sana frame ila Picha ni ileile,yaani dhaifu ni yule yule na taabu zinaendelea.wametafuga gamba wapi,wakaefuata mafisadi wapi, wamefuata vihiyo wapi, sasa ni mizigo.May Be tutahitaji Mnyika aje tena kuwasaidia CCM kupata Mizigo mizoto kwanza kabla ya kuondoa miepesi.
Je Mizigo itajipima vipi sasa?Watajipima kwa uzito wa mizigo?Wahat if km mzigo mzito utakuwa dhaifu je CCM watajinasua vipi?
CCM wamebadili sana frame ila Picha ni ileile,yaani dhaifu ni yule yule na taabu zinaendelea.wametafuga gamba wapi,wakaefuata mafisadi wapi, wamefuata vihiyo wapi, sasa ni mizigo.May Be tutahitaji Mnyika aje tena kuwasaidia CCM kupata Mizigo mizoto kwanza kabla ya kuondoa miepesi.