What was my mistake?

God knows

JF-Expert Member
Sep 6, 2011
275
173
Few months ago, I fell in love with a certain young lady. Our love lasted just for three months before I was fired in that relationship. The day the relationship ended is the day that we planned to have sex for the first time.

We did not have sex on that day because my love was crying all the time in that room in the guest house and I did not know the reason why she was crying. the next day, she just abandoned me and she never gave me the reason other than saying "nipe muda nijifunze kukupenda"

Up to the Moment sijajua kama bado anajifunza kunipenda kwa sababu alinichunia na hajawahi kuongea na mimi tena. wana JF, tatizo ni nini na kosa langu ni lipi? Nisaidieni
 
1.hauna kosa hana kosa.
2.ni maamuzi yake kukuweka pending SABABU YEYE ANAZO
3.Tafuta ambaye HATAITAJI darasa la kukupenda kwanza then ndo muingie/muanze kudinyana

WAT I KNW IS HAUWEZ KUKAA MBALI NA MTU AFU NDO UKAMPENDA...mapenzi huja /hukua kutokana na mazoea ..baada ya watu wawili kukaa pamoja mda mwing/mnashare vtu,events mablimbali then mkishazoeana ndo mwanzo wa kupendana...SASA UYO WAKO ANAYETAKA KWENDA TOKYO KUBUKUA BIN KUJIFUNZA JINSI YA KUKUPENDA mhh mrongooooo ..mulika mwizi kaka.

km vip tongoza pengine anaye aliyempenda bila kwenda kigurunyembe kusomea jinsi ya kupenda .


nawsilisha kwa heshima na taadhima....
 
Few months ago, I fell in love with a certain young lady. Our love lasted just for three months before I was fired in that relationship. The day the relationship ended is the day that we planned to have sex for the first time. We did not have sex on that day because my love was crying all the time in that room in the guest house and I did not know the reason why she was crying. the next day, she just abandoned me and she never gave me the reason other than saying "nipe muda nijifunze kukupenda"
Up to the Moment sijajua kama bado anajifunza kunipenda kwa sababu alinichunia na hajawahi kuongea na mimi tena. wana JF, tatizo ni nini na kosa langu ni lipi? Nisaidieni

Huyo binti ana akili sana na Mungu wake ni mkubwa......Pamoja na kwamba alilia siku hiyo ila itamsaidia sana kucheka for the rest of her life!!
 
Huyo binti ana akili sana na Mungu wake ni mkubwa......Pamoja na kwamba alilia siku hiyo ila itamsaidia sana kucheka for the rest of her life!!

dadavua mkubwa....
akili yangu nyembamba haijajua mafumbo
 
1.hauna kosa hana kosa.
2.ni maamuzi yake kukuweka pending SABABU YEYE ANAZO
3.Tafuta ambaye HATAITAJI darasa la kukupenda kwanza then ndo muingie/muanze kudinyana

WAT I KNW IS HAUWEZ KUKAA MBALI NA MTU AFU NDO UKAMPENDA...mapenzi huja /hukua kutokana na mazoea ..baada ya watu wawili kukaa pamoja mda mwing/mnashare vtu,events mablimbali then mkishazoeana ndo mwanzo wa kupendana...SASA UYO WAKO ANAYETAKA KWENDA TOKYO KUBUKUA BIN KUJIFUNZA JINSI YA KUKUPENDA mhh mrongooooo ..mulika mwizi kaka.

km vip tongoza pengine anaye aliyempenda bila kwenda kigurunyembe kusomea jinsi ya kupenda .


nawsilisha kwa heshima na taadhima....

I know the same
 
dats gud gal no sex til ndoa,.. ukiona hvyo ameshaona weng wanatoa na kuachwa,.. gud gal n kip t up weng wanashindwa kumaintain their virginity nwdays,..
 
Unajua mi kinachoniuma ni ile sentensi "nipe muda nijifunze kukupenda" ina maana all the months we had been together alikuwa hanipendi. And why was she in love then??????????????????????????!!!!
 
Unajua mi kinachoniuma ni ile sentensi "nipe muda nijifunze kukupenda" ina maana all the months we had been together alikuwa hanipendi. And why was she in love then??????????????????????????!!!!

Kwa mawazo yangu, alikupenda, lakini alitarajia tofauti na jinsi wewe ulivyotarajia. Sasa anawaza kama upendo ndo lazima akugawie kabla ya ndoa, basi inabidi akajifunze jinsi ya kukupenda! Ninajaribu kuwaza tu.
 
May be there's somethg she's trying 2 hide thats why she's avoiding u.
 
Mara nyingi kuna sauti ndogo,laini na ya upole inakua inaongea na sisi
tukiwa tunafikiria kufanya jambo lolote,au tukiwa tunalifanya au tunajiandaa kufanya kitu.

Mara nyingi pia sauti hii hua tunaidharau,maana ni ya upole sana lakini ndio sauti peke yake
ambayo inatakiwa iongoze maisha yetu.

Kwa mtazamo wangu,yawezekana kabisa sauti hii ilikua inamtokea na akaona kabisa
anachotaka kukifanya ni kosa kubwa sana,...........
*Labda aliambiwa kuna maradhi atakupa akifanya tendo hilo na wewe,...........
*Au labda aliambiwa wewe una maradhi utampa,..........
*Au labda aliambiwa utamchezea tu na utamtosa,.......
*Au labda aliambiwa ukifanya kosa hili leo utapata mimba,...

Na mengine mengi,cha muhimu mkuu,mshukuru sana Mungu kwa kilicho tokea.
na zaidi ya yote,jifunze kuisikiliza sauti hii mda wote,...

Ni sauti ya ROHO MTAKATIFU
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom