4X4byfar
JF-Expert Member
- Oct 29, 2008
- 201
- 17
Jamani wana JF hamjambo,
Mimi ninakisa kimoja naomba ushauri weni. Mke na mume wameona wana karibia 3yrs now. Mme amekuwa na matatizo ya hapa na pale kwa mkewe e.g kutomjali kifedha mama hana kazi bado yupo skull anasomea lugha, mme amekuwa na mawasiliaono na wanawake mbali mbali ikiwemo Ex wake, kutojali familia ya mke anapouguliwa, amekuwa akimkebehi mke ambapo hata matumizi ya chakula, kutomtimizia uroda n.k. Kwa kweli huyu mama alijaribu sana kumwelezea mmuwe yote aliokuwa akimtendea hafurahishwi nayo. Mme akawa kama kinyonga mara leo ni mzuri kesho yuko pale pale. Mke akaona imekuwa too much kwake, akatafuta kakazi angalao kakumpa mafuta ya kujipaka kwa Mtasha mmoja ambaye ni single, kwa kweli mtasha akaanza kuvutiwa na huyu mama, ila alimwambia kweli kuwa ana mume na anamheshimu hawezi kufanya anayotaka. Ss siku moja Mme karudi toka job, akakuta mail account ya mkewe wazi, akasoma mails zote zilizomo...akakutana na ya mtasha ambayo ilikuwa ikimpa mtasha sababu za wao kutofanya hicho kitendo. Jamani sijui kutokana na elimu duni ya mme wake kutojua ki english vizuri, basi jamaa akamchukulia kuwa mkwe anamegwa na huyo mtasha. Mke kwa sasa anamimba ya miezi 5, mme amemsusa, no uroda, no interest shown kwa kiumbe kijacho, no touch no what. Mme amekuwa sasa kama anajisukuma tuu kumuhudumia huyo mama. Kwa kweli huyu dada yuko taabani kwa kuumia moyo afanye nini, kaomba msamaha ila mme ameonekana kuwa bado na gumu la moyoni. Ushauri wapendwa.
Mimi ninakisa kimoja naomba ushauri weni. Mke na mume wameona wana karibia 3yrs now. Mme amekuwa na matatizo ya hapa na pale kwa mkewe e.g kutomjali kifedha mama hana kazi bado yupo skull anasomea lugha, mme amekuwa na mawasiliaono na wanawake mbali mbali ikiwemo Ex wake, kutojali familia ya mke anapouguliwa, amekuwa akimkebehi mke ambapo hata matumizi ya chakula, kutomtimizia uroda n.k. Kwa kweli huyu mama alijaribu sana kumwelezea mmuwe yote aliokuwa akimtendea hafurahishwi nayo. Mme akawa kama kinyonga mara leo ni mzuri kesho yuko pale pale. Mke akaona imekuwa too much kwake, akatafuta kakazi angalao kakumpa mafuta ya kujipaka kwa Mtasha mmoja ambaye ni single, kwa kweli mtasha akaanza kuvutiwa na huyu mama, ila alimwambia kweli kuwa ana mume na anamheshimu hawezi kufanya anayotaka. Ss siku moja Mme karudi toka job, akakuta mail account ya mkewe wazi, akasoma mails zote zilizomo...akakutana na ya mtasha ambayo ilikuwa ikimpa mtasha sababu za wao kutofanya hicho kitendo. Jamani sijui kutokana na elimu duni ya mme wake kutojua ki english vizuri, basi jamaa akamchukulia kuwa mkwe anamegwa na huyo mtasha. Mke kwa sasa anamimba ya miezi 5, mme amemsusa, no uroda, no interest shown kwa kiumbe kijacho, no touch no what. Mme amekuwa sasa kama anajisukuma tuu kumuhudumia huyo mama. Kwa kweli huyu dada yuko taabani kwa kuumia moyo afanye nini, kaomba msamaha ila mme ameonekana kuwa bado na gumu la moyoni. Ushauri wapendwa.