Ugali mboga za majani na kachumbari
Unaweza kuacha ugali ila mi naona kuna umuhimu wa mboga za majani,unafaham mnafu(mchachu) halafu na mchicha.Hii hapana kabisa! Ukiishindilia mchana utapata usingizi mzito baada muda mfupi. Kitu favorite hapo ni Jumanecha kwa nyama.
Unaweza kuacha ugali ila mi naona kuna umuhimu wa mboga za majani,unafaham mnafu(mchachu) halafu na mchicha.