Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,251
- 34,198
Huwa siedit comment ya mtu
Huwa siedit comment ya mtu
Hizo Tanzanite India inayoongoza kuuza, na Afrika ya Kusini, wanazipata wapi?!. Hivyo vinyago hao Wakenya wanavipata wapi?!. Hayo Mahindi jee?.
Paskali
Mkuu hoja si ni biashara na nasikia sirikali siku hizi haifanyi biashara kwa hiyo mleta uzi kamaanisha role yetu sie wananchi kwenye international business?Hatuna mtaji wa kutosha wakati tunanunua mapangaboi kwa cash??
Hiyo mijadala ya maana haina wachangiaji, hata huu wa kwako ukifika hata page 5 leo ni PM namba yako nikutumie pesa ya sodaMkuu Mkaruka, anzisha basi huo mjadala wa maana, na sisi tutachangia na kuisifu serikali yetu, badala ya kuiponda!.
Paskali
Wewe ndiyo unawasamea Watanzania? Leta katika mpya nzuri na Tume huru tuwaachie WaTz wazungumze.Inawezekana ccm wabovu lkn mbadala wa ccm bado hakuna kwa sab waliokuwepo ni wabovu kuliko ccm. Kwa mfano mamvi ndiye ataleta madiliko? Anayetaka urais ili amkomeshe kikwete? Mtu aliyethibitishwa kuwa ni fisadi na chombo chenye mamlaka kikatiba? Au chadema chama cha kifamilia? Au cuf chama chenye makundi? Tanzania upinzani wenye uwezo wa kutawala nchi bado haujatokea.
Siwasemei bali dalili zinaonekana kwa mtu yeyote. Kwani mamvi sio fisadi aliyethibitishwa? Chadema sio chama cha mtei na mkwe wake? Cuf haina migogoro? Tume mbona ni huru ? Zambia Malawi na Kenya vyama vya upinzani vimechukua nchi kupitia tume kama hii acheni visingizio.Wewe ndiyo unawasamea Watanzania? Leta katika mpya nzuri na Tume huru tuwaachie WaTz wazungumze.
Si kweli jamani!Bidhaa zetu zinazotengenezwa viwandani ni bidhaa za kiwango cha chini sana!
Hahahaha, haya tena! HahahaTangu tumeanza kuzalisha hizo bidhaa, zina mchango gani kwa Tanzania katika soko la kimataifa?
Get off the Internet and wash your hands, wank wanker!
Jibu swali ni fake sio fake?Tangu tumeanza kuzalisha hizo bidhaa, zina mchango gani kwa Tanzania katika soko la kimataifa?
Get off the Internet and wash your hands, wank wanker!
Tuna mazao kibao na bado tuna endelea, jiamini na kuwa mzalendo!Mamaa kwani sisi tuna bidhaa gani za viwandani ambazo tunaweza kujivunia kama taifa?
Azam products, No Enterprises, Kilimanjaro Instant Coffee, Textiles, Cement, Beverages, na zingine nyingi. Kama hujui uliza.Mamaa kwani sisi tuna bidhaa gani za viwandani ambazo tunaweza kujivunia kama taifa?
Chikundi,Inawezekana ccm wabovu lkn mbadala wa ccm bado hakuna kwa sab waliokuwepo ni wabovu kuliko ccm. Kwa mfano mamvi ndiye ataleta madiliko? Anayetaka urais ili amkomeshe kikwete? Mtu aliyethibitishwa kuwa ni fisadi na chombo chenye mamlaka kikatiba? Au chadema chama cha kifamilia? Au cuf chama chenye makundi? Tanzania upinzani wenye uwezo wa kutawala nchi bado haujatokea.
Wewe Chikundi hebu acha kujiabisha kwa hoja za kijinga, unawaharibia CCM zaidi . . , kama huwezi kujadili kacheze mdako . .Siwasemei bali dalili zinaonekana kwa mtu yeyote. Kwani mamvi sio fisadi aliyethibitishwa? Chadema sio chama cha mtei na mkwe wake? Cuf haina migogoro? Tume mbona ni huru ? Zambia Malawi na Kenya vyama vya upinzani vimechukua nchi kupitia tume kama hii acheni visingizio.