Architect E.M
JF-Expert Member
- Nov 15, 2010
- 1,211
- 1,360
Natumaini hamjambo waheshimiwa.
Nimetafakari kwa muda mrefu sana, nini hasa maana ya maisha na kwanini tunaishi?
Maisha hayako fair kabisa, wako watu wasio na hatia wala ubaya, wenye roho nzuri kupitiliza na wameishia kufa katika umri mdogo tena vifo vya kikatili mno. Wapo watu wenye roho chafu kupitiliza na wanaishi miaka na miaka wakiendeleza ukatili huo.
Maisha yetu yamejaa matatizo, majanga, huzuni, presha bila kujali waliofanikiwa kifedha na ambao hawajafanikiwa pia.
Wengi wetu tunajitahidi kupambana kufanikiwa kifedha, ila hata baada ya kufanikiwa, kwanini bado kunakua na suffering na presha nyingine za maisha????
Kwa mifano hii michache huwa najiuliza, kwanini binadamu tunaishi???? What is the purpose????
Saa nyingine naishia kuamini mstari wa ni biblia ulioandika maisha ni ubatili mtupu..
Karibuni kwa maoni wadau.
Nimetafakari kwa muda mrefu sana, nini hasa maana ya maisha na kwanini tunaishi?
Maisha hayako fair kabisa, wako watu wasio na hatia wala ubaya, wenye roho nzuri kupitiliza na wameishia kufa katika umri mdogo tena vifo vya kikatili mno. Wapo watu wenye roho chafu kupitiliza na wanaishi miaka na miaka wakiendeleza ukatili huo.
Maisha yetu yamejaa matatizo, majanga, huzuni, presha bila kujali waliofanikiwa kifedha na ambao hawajafanikiwa pia.
Wengi wetu tunajitahidi kupambana kufanikiwa kifedha, ila hata baada ya kufanikiwa, kwanini bado kunakua na suffering na presha nyingine za maisha????
Kwa mifano hii michache huwa najiuliza, kwanini binadamu tunaishi???? What is the purpose????
Saa nyingine naishia kuamini mstari wa ni biblia ulioandika maisha ni ubatili mtupu..
Karibuni kwa maoni wadau.