Power to the People
JF-Expert Member
- Jul 11, 2007
- 1,198
- 892
Habari nilizozipata ni kwamba Ps wa MNRT na Director of wildlife Mr Tarimo wamepigwa kibuti. Mzee Tarimo alikwa na kama miezi mitatu astaafu sijui ni kitu gani kilichofanya mpaka akambiwa aondoka haraka hivi.