What is a quation statement?

Mjenda Chilo

JF-Expert Member
Jul 20, 2011
1,466
512
Wanajamvi naomba mwenye uelewa wa hii kitu, hati ya onyo kabla ya kumshitaki mtu, je Sheria inasemaje na je ikawa umemshitaki mtu bila hii kitu what is the implication?
 
Hati ya onyo haitolewi na anayeshtaki bali anayeshtakiwa na inaitwa cautioned statement
Ile anayoandika mlalamikaji kwa lugha ya wenyewe victim inaitwa statement tu. Kwa mahakama za mwanzo sio lazima victim kutoa maelezo yake kwa sababu victim anaweza pelekwa kesi yamke kwa mudomo na hakimu kutoka kwenye maelezo hayo ya mdomo akaframe charge. Kwa mahakama za juu CPA Inataka maelezo ya victim au reporter of incedence yawepo kwenye record na accused anaweza kuyaomba wakati wowote chini ya s. 9 cha CPA. Kuna mzingira mengine hakimu pia anaweza kuframe charge mwenyewe na kukutry has kwenye kesi zenye summary trial/strict offences. Kama lwakibalira alipohukumu mtu kwa masaa under the offence of contempt of court kule Arusha kwenye kesi ya murder.
 
Wanajamvi naomba mwenye uelewa wa hii kitu, hati ya onyo kabla ya kumshitaki mtu, je Sheria inasemaje na je ikawa umemshitaki mtu bila hii kitu what is the implication?
kuna wakati tunataka kupima credibility ya kama alichokisema soon after the insidence is the same in substance or ana afterhougt after coup of days. Pia kama anayentaja kuhusoka alimtaja pia mufa mfupi baada ya au kumjua au kumtilia shaka. Any information on records sounds clearer that that not on records. Any unexplained delay to make a reprot may raise doubt to the victim's credibility. Remember any doubt benefits the defence side.
 
Caution statement maana yake hasa ni hati ya onyo,ambayo hutolewa na police kwa mtuhumiwa kabala ya police kuchukua maelezo ya mtuhumiwa,ONYO lenyewe ni kwamba lolote atakalo lisema mtuhumiwa huenda likatumika kama ushahid endapo kesi itapelekwa mahakamani"whtever u say might b usd against u in case the z filled to the crt of law" sheria inamtaka polis asichukue maelezo bila kwanza kumuonya mtuhumiwa,kuna aina mbili za caution statement ile inayokuwa initiated b police officer under s.57 ya CPA hii iko in form of qn and answerz...pia nyingine n pale mtuhumiwa mwenyewe anapoomba karatasi ili kujiandikia maelezo kwa hiari yake ambayo iko under s58 ya CPA amabapo hii iko katika system ya story maana mtuhumiwa anakuwa anajieleza mwenyewe mwanzo mwisho.....katika hizo zote mbili mtuhumi must b cautioned b4 writing anythn that whtever she or he say will b agaisnt hm o her in the court of law...
 
Caution statement maana yake hasa ni hati ya onyo,ambayo hutolewa na police kwa mtuhumiwa kabala ya police kuchukua maelezo ya mtuhumiwa,ONYO lenyewe ni kwamba lolote atakalo lisema mtuhumiwa huenda likatumika kama ushahid endapo kesi itapelekwa mahakamani"whtever u say might b usd against u in case the z filled to the crt of law" sheria inamtaka polis asichukue maelezo bila kwanza kumuonya mtuhumiwa,kuna aina mbili za caution statement ile inayokuwa initiated b police officer under s.57 ya CPA hii iko in form of qn and answerz...pia nyingine n pale mtuhumiwa mwenyewe anapoomba karatasi ili kujiandikia maelezo kwa hiari yake ambayo iko under s58 ya CPA amabapo hii iko katika system ya story maana mtuhumiwa anakuwa anajieleza mwenyewe mwanzo mwisho.....katika hizo zote mbili mtuhumi must b cautioned b4 writing anythn that whtever she or he say will b agaisnt hm o her in the court of law...
 
nianze kwa kusema hakuna kitu kinachoitwa hati ya onyo bali maelezo ya onyo. soma kifungu cha 9 na 10 cha CPA. Hayo ni maelezo yanayotolewa na mtuhumiwa katika ushiriki wake katika kosa analoshitakiwa nalo. Katika hayo maelezo anaweza kukiri huhusika au kutohusika na kile anachoshtakiwa nacho.kinu vitu vya kuzingatia katika kuchukua hayo maelezo, kama yuko free kuyatoa, kama hakuna vitisho au kuteswa, kama atapenda ndugu au wakili awepo wakati akiyatoa, muda sahihi wa kisheria wa kuyachukua na yeye kusaini mwishoni. Soma kifungu cha 27 (2) Evidence Act. Maelezo yanaweza kuchukuliwa kwa mtindo wa maswali na majibu au maelezo ya jumla sections 57 and 58 CPA. hayo maelezo ni ushahidi mzuri ingawaje yanaweza kukataliwa kama taratibu za kuyachukua zilikiukwa. hata hivyo unaweza kutumia ushahidi mwingine na hata hivyo siyo lazima kutumia ushahidi huo. Kwa kesi kama za mauaji mtuhumiwa akikiri katika maelezo ya onyo hupelekwa mbele ya mlinzi wa amini ambapo akikiri tena kunakuwa na kitu kinachoitwa EXTRA JUDICIAL CONFESSION au maelezo ya ungamo kwa kiswahili. next time tutaanza kuchaji fee kwani ni professional misconduct kwa wakili kufanya kazi ambayo haina malipo.
 
nianze kwa kusema hakuna kitu kinachoitwa hati ya onyo bali maelezo ya onyo. soma kifungu cha 9 na 10 cha CPA. Hayo ni maelezo yanayotolewa na mtuhumiwa katika ushiriki wake katika kosa analoshitakiwa nalo. Katika hayo maelezo anaweza kukiri huhusika au kutohusika na kile anachoshtakiwa nacho.kinu vitu vya kuzingatia katika kuchukua hayo maelezo, kama yuko free kuyatoa, kama hakuna vitisho au kuteswa, kama atapenda ndugu au wakili awepo wakati akiyatoa, muda sahihi wa kisheria wa kuyachukua na yeye kusaini mwishoni. Soma kifungu cha 27 (2) Evidence Act. Maelezo yanaweza kuchukuliwa kwa mtindo wa maswali na majibu au maelezo ya jumla sections 57 and 58 CPA. hayo maelezo ni ushahidi mzuri ingawaje yanaweza kukataliwa kama taratibu za kuyachukua zilikiukwa. hata hivyo unaweza kutumia ushahidi mwingine na hata hivyo siyo lazima kutumia ushahidi huo. Kwa kesi kama za mauaji mtuhumiwa akikiri katika maelezo ya onyo hupelekwa mbele ya mlinzi wa amini ambapo akikiri tena kunakuwa na kitu kinachoitwa EXTRA JUDICIAL CONFESSION au maelezo ya ungamo kwa kiswahili. next time tutaanza kuchaji fee kwani ni professional misconduct kwa wakili kufanya kazi ambayo haina malipo.

Umeharibu hapo mwisho.
 
Kunatofauti kubwa kati ya mambo ya kuzingatia wakati caution statemen inatolewa na "maana ya caution statemen " swali liikuwa ni maana ya caution statement......kitu ambacho ww hujakielezea.....
 
Permanides......
pia usisahau kuna legal aid.....msaada wa kisheria bureeeee kwa wasio nauwezo wakulipia huduma ya kisheria.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom