Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama hawa 1st year wa mwaka hu cdhan kama kuna m2 anae weza goma,wamejaa utozi.
Senetor...mimi hapo ninabisha kidogo. Sio wote matozi (mfano mimi sio tozi). Ila wengi matozi, halafu waoga tu.....Nilipata picha ile siku ya kuchukua admittion letters pale udsm walituzingua kwenye picha, ila cha ajabu watu walitulia tu, wanaogopa kudai haki yao.
ukija hapa hill lazima uwe comandoo dogo!!
ukomandoo nauweza. Tena bahati mbaya walifuta mafunzo ya JKT.
Kama hawa 1st year wa mwaka hu cdhan kama kuna m2 anae weza goma,wamejaa utozi.
ukija hapa hill lazima uwe comandoo dogo!!
komandoo hajitangazi, ila anatangazwa.
sawa tu Mzee, utawasikia wakinitangaza tu.