What have seen on the ground...Zitto? We , because ehh!

unprejudiced

JF-Expert Member
Jan 27, 2017
3,505
2,862
COVID-19 ipo wakubwa almost duniani kote. Baki home kama huna la kufanya. Ukitoka Chukua tahadhari, Vaa Barakoa, nawa mikono na maintain one Meter umbali. Ukiwa unakohoa ziba mdomo kwa kiwiko au tissue nk. Hakuna uchawi hapa. Kirusi anahitaji Lift yako kufika kwa mwingine .

Nirudi kwa niliyoyasikia Leo kutoka BBC. Amehojiwa Mheshimiwa Zitto, sizungumzii KINGE chake Bali namna alivyokuwa anajibu maswali. Nimegundua kuwa Ni „mtu wa Ajabu“
Ameulizwa maswali Karibu yote yeye kama yeye Lakini alichoishia Ni kutoa kimemo chake cha majibu aliyosomea yeye. In content, amenieleza kuwa Ni Serikali tu ndo unapaswa kufanya kila kitu. Mwananchi hana personal responsibility. Hana ile nini anakiona kimefanyika na Nini kiboreshwe. For him ni kutafuta mbinu Zote kuisema Serikali. Huwezi kuwa kiongozi wa watu wako kwa mindset ya namna hiyo.

Nini umeona. Nini unajua: hearsaysssss „we“ there is no we in such personal questions. Mr ponda ponda. Eti Serikali haipo serious kabisa. What did you mean by that. Kweli Siasa Hatari sana ukitanguliza taarabu.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
COVID-19 ipo wakubwa almost duniani kote. Baki home kama huna la kufanya. Ukitoka Chukua tahadhari, Vaa Barakoa, nawa mikono na maintain one Meter umbali. Ukiwa unakohoa ziba mdomo kwa kiwiko au tissue nk. Hakuna uchawi hapa. Kirusi anahitaji Lift yako kufika kwa mwingine .

Nirudi kwa niliyoyasikia Leo kutoka BBC. Amehojiwa Mheshimiwa Zitto, sizungumzii KINGE chake Bali namna alivyokuwa anajibu maswali. Nimegundua kuwa Ni „mtu wa Ajabu“
Ameulizwa maswali Karibu yote yeye kama yeye Lakini alichoishia Ni kutoa kimemo chake cha majibu aliyosomea yeye. In content, amenieleza kuwa Ni Serikali tu ndo unapaswa kufanya kila kitu. Mwananchi hana personal responsibility. Hana ile nini anakiona kimefanyika na Nini kiboreshwe. For him ni kutafuta mbinu Zote kuisema Serikali. Huwezi kuwa kiongozi wa watu wako kwa mindset ya namna hiyo.

Nini umeona. Nini unajua: hearsaysssss „we“ there is no we in such personal questions. Mr ponda ponda. Eti Serikali haipo serious kabisa. What did you mean by that. Kweli Siasa Hatari sana ukitanguliza taarabu.


Sent using Jamii Forums mobile app
Nmerudia kusoma Mara tatu sijakuelewa naona kama hili bandiko linafaa MMU hebu mods tafadhali litendeeni haki.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
COVID-19 ipo wakubwa almost duniani kote. Baki home kama huna la kufanya. Ukitoka Chukua tahadhari, Vaa Barakoa, nawa mikono na maintain one Meter umbali. Ukiwa unakohoa ziba mdomo kwa kiwiko au tissue nk. Hakuna uchawi hapa. Kirusi anahitaji Lift yako kufika kwa mwingine .

Nirudi kwa niliyoyasikia Leo kutoka BBC. Amehojiwa Mheshimiwa Zitto, sizungumzii KINGE chake Bali namna alivyokuwa anajibu maswali. Nimegundua kuwa Ni „mtu wa Ajabu“
Ameulizwa maswali Karibu yote yeye kama yeye Lakini alichoishia Ni kutoa kimemo chake cha majibu aliyosomea yeye. In content, amenieleza kuwa Ni Serikali tu ndo unapaswa kufanya kila kitu. Mwananchi hana personal responsibility. Hana ile nini anakiona kimefanyika na Nini kiboreshwe. For him ni kutafuta mbinu Zote kuisema Serikali. Huwezi kuwa kiongozi wa watu wako kwa mindset ya namna hiyo.

Nini umeona. Nini unajua: hearsaysssss „we“ there is no we in such personal questions. Mr ponda ponda. Eti Serikali haipo serious kabisa. What did you mean by that. Kweli Siasa Hatari sana ukitanguliza taarabu.


Sent using Jamii Forums mobile app
You dam head do you see that our government is taking matters seriously enough with regards to the pandemic? Your are not serious enough either to support a president who has defied all international protocols just because he's inadvisable. You got to be serious with serious matters!
 
COVID-19 ipo wakubwa almost duniani kote. Baki home kama huna la kufanya. Ukitoka Chukua tahadhari, Vaa Barakoa, nawa mikono na maintain one Meter umbali. Ukiwa unakohoa ziba mdomo kwa kiwiko au tissue nk. Hakuna uchawi hapa. Kirusi anahitaji Lift yako kufika kwa mwingine .

Nirudi kwa niliyoyasikia Leo kutoka BBC. Amehojiwa Mheshimiwa Zitto, sizungumzii KINGE chake Bali namna alivyokuwa anajibu maswali. Nimegundua kuwa Ni „mtu wa Ajabu“
Ameulizwa maswali Karibu yote yeye kama yeye Lakini alichoishia Ni kutoa kimemo chake cha majibu aliyosomea yeye. In content, amenieleza kuwa Ni Serikali tu ndo unapaswa kufanya kila kitu. Mwananchi hana personal responsibility. Hana ile nini anakiona kimefanyika na Nini kiboreshwe. For him ni kutafuta mbinu Zote kuisema Serikali. Huwezi kuwa kiongozi wa watu wako kwa mindset ya namna hiyo.

Nini umeona. Nini unajua: hearsaysssss „we“ there is no we in such personal questions. Mr ponda ponda. Eti Serikali haipo serious kabisa. What did you mean by that. Kweli Siasa Hatari sana ukitanguliza taarabu.


Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo hujui kuandika......tunashindwa kuelewa hoja yako bwashee!
 
Back
Top Bottom