Wakuu,
Nimeshtushwa na taarifa hii ya Total na inaleta hofu kwangu kama mtanzania juu ya hatma ya wafanyabiashara na makampuni makubwa nchini.
Juzi nilisoma hii >>> Dar: Vigogo wa Total watiwa mbaroni - Imevuja!
Ghafla nakutana na hii 👇🏾
Nimeshtushwa na taarifa hii ya Total na inaleta hofu kwangu kama mtanzania juu ya hatma ya wafanyabiashara na makampuni makubwa nchini.
Nini kinaendelea?Juzi nilisoma hii >>> Dar: Vigogo wa Total watiwa mbaroni - Imevuja!
Ghafla nakutana na hii 👇🏾