e2themiza
JF-Expert Member
- Mar 29, 2011
- 974
- 563
MARAFIKI.COM ilikuwa my best chating site nlikuwa naingia uko kwa day nakukaa hours meeting new friends chatting na wa bongo
wenzangu hehehe! just chating yani ilikuwa bomba sana n that was like a year a go sasa mashindwa elewa mpaka leo yani imetelekezwa au ndo
ule ule uzembe wa wabongo... why? Yani ni kwamba ukifungua hompage nafunguka fresh kabisa Marafiki.com - making friends has never been
so easy... sasa tatizo linakuja kwny button au place unapoclick kuingia chatroom... ni kwamba walikuwa wana domain name mbili Darchat.com
na Welcome To Marafiki.com | Karibu Marafiki.com sasa iyo link ya kuanza ikaisha muda wake wa kulipia na ime expire but the second one works
fine sasa tatizo ni kwamba kwenye HOMPAGE imelinkiwa link ya kuanza iliyo expire sasa since last year mpaka leo hawaja fix apo au kuapdate iyo
link ata kusema labda wameshindwa lipia iyo link ya kuanza sasa kwanini wasi update hompage na kulink link ya pili ambayo ndo inakudirect moja
kwa moja kwenye chatroom?... kweli this is insanity au labda kuna sababu zingine coz kwa sasa iyo link ya pili wanao watu wachache sana so
room kwa day anaingia mtu moja mara siku zingine hamna mtu kabisa... kwasababu watu wanafungua homepage na wakiclick kuingia
chatroom wana kuwa redirected kwenye page inawaombia kuwa imexpire.
wenzangu hehehe! just chating yani ilikuwa bomba sana n that was like a year a go sasa mashindwa elewa mpaka leo yani imetelekezwa au ndo
ule ule uzembe wa wabongo... why? Yani ni kwamba ukifungua hompage nafunguka fresh kabisa Marafiki.com - making friends has never been
so easy... sasa tatizo linakuja kwny button au place unapoclick kuingia chatroom... ni kwamba walikuwa wana domain name mbili Darchat.com
na Welcome To Marafiki.com | Karibu Marafiki.com sasa iyo link ya kuanza ikaisha muda wake wa kulipia na ime expire but the second one works
fine sasa tatizo ni kwamba kwenye HOMPAGE imelinkiwa link ya kuanza iliyo expire sasa since last year mpaka leo hawaja fix apo au kuapdate iyo
link ata kusema labda wameshindwa lipia iyo link ya kuanza sasa kwanini wasi update hompage na kulink link ya pili ambayo ndo inakudirect moja
kwa moja kwenye chatroom?... kweli this is insanity au labda kuna sababu zingine coz kwa sasa iyo link ya pili wanao watu wachache sana so
room kwa day anaingia mtu moja mara siku zingine hamna mtu kabisa... kwasababu watu wanafungua homepage na wakiclick kuingia
chatroom wana kuwa redirected kwenye page inawaombia kuwa imexpire.