PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,203
- 8,724
JK alichomwa moyo saoa na yale maneno. Kwa mtu aliyekuwa makini kumwangalia ni kwamba alikerwa kabisa na hakupenda kuendelea kusimama pale mbele, maana kwa wenye akili zao aligeuzwa KITUKO.
Na mbaya zaid, yule mama anaongea akiwa amekaza macho na anamface mtu machoni.
JK hajazowe hizo, maana hadi waziri wa mambo ya ndani, pamoja na unyeti wa wizara yake huwa anampa ripoti JK huku akiwa anacheka hadi jino la 36!
Chezeya Machaka weeee!
Na mbaya zaid, yule mama anaongea akiwa amekaza macho na anamface mtu machoni.
JK hajazowe hizo, maana hadi waziri wa mambo ya ndani, pamoja na unyeti wa wizara yake huwa anampa ripoti JK huku akiwa anacheka hadi jino la 36!
Chezeya Machaka weeee!