Majoja
JF-Expert Member
- Jun 10, 2011
- 612
- 186
Rafiki yangu katoka Switzerland jana na nimemsimulia yaliyojiri hapa kwetu.
Baada ya masikitiko akanieleza kuwa huko Switzerland walishangaa vitu vifuatavyo:
No wonder hakuna raia wa kigeni aliyepanda meli hiyo.
Baada ya masikitiko akanieleza kuwa huko Switzerland walishangaa vitu vifuatavyo:
- crew katika luninga walionekana wamevaa bagrashia na ndala badala ya kuvaa kama wanabaharia
- meli ni kama chuma chakavu na haileti matumaini kama kweli ni ya abiria
No wonder hakuna raia wa kigeni aliyepanda meli hiyo.