What apps in your phone do you use the most?

Aise
IMG_20190817_114749.jpeg
 
mm cna cha kudownload wala kuperuz kwenye ki tecno changu cha tochi nilichonunua 23,000/- tena kipya kabisa dukani na risiti nikapewa,sana sana nikitaka kufanya madoido ya kitochi changu basi natafuta steshen moja kabaambe kabisa ya fm na kula midundo balaa,mtaniambia nini bana nyie
 

Attachments

  • WIN_20190817_101747.JPG
    WIN_20190817_101747.JPG
    17.5 KB · Views: 37

Similar Discussions

Back
Top Bottom