ikisimama panda
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 2,547
- 1,869
What actually makes people stay in their cars for long before entering the house?
A bit resting; relaxing and listening to the nice music; after a long driveWhat actually makes people stay in their cars for long before entering the house?
spinderella nmefurahi kukutana na hili jina huku muda sio mrefu nilikua naangalia salt n pepaEnjoy the air con a bit longer.
Finish listening to your favourite song still playing on the radio.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ni sawa kabisa si vizuri kufumania,make hata wazee zamani walikuwa wanafanya hivyo,akitoka safari anapitia grocery ambayo ipo karibu anapata chochote km ana mzigo anamtuma mtoto yeyote jirani aupeleke kwake lengo ni kutuma taarifa kuwa amekuja incase km kuna uchafu home mama arekebisheKumpa muda mgoni wako kutoroka
Not all people.. Maybe a few or fewer of them! Me i get off immediately...lakini kama nitabaki kwa walau dakika moja basi ni kwa ajili ya kumshukuru Mungu kwa kunirudisha nyumbani salamaWhat actually makes people stay in their cars for long before entering the house?
Gari huhitaji cooling, unasubiri kuzimaJichagulie hapa;
1.kusoma na kufuta mawasiliano tatanishi.(sms,call logs, nk)
2.kuficha hela/walet
3.kusali kumshukuru Mungu
4.kusubiri gari ipoe baada ya mwendo mrefu
5.kufanya mawasiliano hasa wale walio kutafuta wakati wa safari.
Unaweza ongezea
hawajashikwa na tumbo la kuhara(Diarrhea).What actually makes people stay in their cars for long before entering the house?
Na ndio sababu ndoa zao zilidumu sana. BUSARA inatuelekeza kwamba "Usimfumanie kama huna mpango wa kumuacha baada ya fumanizi", kwa sababu itakutesa maisha yako yote.Hii ni sawa kabisa si vizuri kufumania,make hata wazee zamani walikuwa wanafanya hivyo,akitoka safari anapitia grocery ambayo ipo karibu anapata chochote km ana mzigo anamtuma mtoto yeyote jirani aupeleke kwake lengo ni kutuma taarifa kuwa amekuja incase km kuna uchafu home mama arekebishe
Sent from my SM-G531H using JamiiForums mobile app
True brother,siku hizi eti mtu anafumania meseji kwa simu mnaachana!!!!Duu, hatari sana,ni wanawake wachache sana ambao wanajua kuwa simu ya mme haipekuliwi kwn kifatacho chaweza kumdhuru mpekuaji mwenyeweNa ndio sababu ndoa zao zilidumu sana. BUSARA inatuelekeza kwamba "Usimfumanie kama huna mpango wa kumuacha baada ya fumanizi", kwa sababu itakutesa maisha yako yote.
Correct. Hata mie huwa sipekui simu ya mke, naweza kukuta mamo ambayo yanaweza kunifuishi safari ya maisha yangu.True brother,siku hizi eti mtu anafumania meseji kwa simu mnaachana!!!!Duu, hatari sana,ni wanawake wachache sana ambao wanajua kuwa simu ya mme haipekuliwi kwn kifatacho chaweza kumdhuru mpekuaji mwenyewe