What actually makes people stay in their cars for long before entering the house?

Jichagulie hapa;

1.kusoma na kufuta mawasiliano tatanishi.(sms,call logs, nk)
2.kuficha hela/walet
3.kusali kumshukuru Mungu
4.kusubiri gari ipoe baada ya mwendo mrefu
5.kufanya mawasiliano hasa wale walio kutafuta wakati wa safari.


Unaweza ongezea
3&4
 
Jichagulie hapa;

1.kusoma na kufuta mawasiliano tatanishi.(sms,call logs, nk)
2.kuficha hela/walet
3.kusali kumshukuru Mungu
4.kusubiri gari ipoe baada ya mwendo mrefu
5.kufanya mawasiliano hasa wale walio kutafuta wakati wa safari.


Unaweza ongezea
4 n 5 zinahusika
 
Back
Top Bottom