Divine...
JF-Expert Member
- May 22, 2015
- 1,615
- 3,117
3&4Jichagulie hapa;
1.kusoma na kufuta mawasiliano tatanishi.(sms,call logs, nk)
2.kuficha hela/walet
3.kusali kumshukuru Mungu
4.kusubiri gari ipoe baada ya mwendo mrefu
5.kufanya mawasiliano hasa wale walio kutafuta wakati wa safari.
Unaweza ongezea