What a pity to do with the current epidemic of senseless killings and abuses of vulnerable people

Mayor Quimby

JF-Expert Member
Mar 13, 2021
2,739
5,808
Kuna mambo kusoma kila siku ukiamka binafsi yananikera na nina uhakika kutokana na mfumo wetu hafifu wa kuorodhosha hayo matatizo much is unreported but its pandemic.

To name a few of the issues:
  1. Mtoto achinjwa
  2. Mtoto abakwa
  3. Fulani auawa kwa wivu wa mapenzi
  4. Mtu fulani mwenye nafasi ya kuaminika kwenye jamii (mwalimu/mzazi/mwanafamilia/etc) kamlawiti mtoto.
  5. Watoto wadogo wanaolala mitaani god knows the sexual abuses of those kids.
Na mambo mengine mengi to do with wizara ya mambo ya ndani ambayo ndio kiuongo (technically wizara inayohusiana na mambo ya jamii, usimamizi wake wa kisheria upo chini ya mambo ya ndani).

Na viongozi husika wana run kama chicken heads Masauni hana habari ya yanayo endelea huko na Dorothy Gwajima (ambae technically ni msaidizi wake) hana analolijua huko.

Na hiyo vita uwezi shida bila ya media na umafia kidogo wa serikali ambazo mbinu zake ni siri za wazi kwa wenye uelewa wa umuhimu wa propaganda sahihi za vitisho.

Serikali kwa sasa inakabiliwa na matatizo mengi ya kiuchumi inayofanya viongozi wa juu ku focus huko; ila kuna social issues pia kila kukicha kuna matukio ya ukatili wa kutisha pia na hayo ni maswala ya wizara ya mambo ya ndani kwanza kabla ya nyingine.

Waziri nani Masauni inabidi huyu bozo aamshwe kama kalala.
 
Tatizo zaidi ni watanzania kuzoea hayo mambo hadi kuona mbona kawaida tu.

Hapo sasa ndio wizara ya habari na sheria zinapotakiwa kuingilia kati na kubadilisha mtazamo kiasi kwamba mtu akimuona minor au vulnerable individual kabla ajafikiria kumfanyia dhambi anazofikiria; anatakiwa hafahamu jinsi jamuhuri itakavyo mfumua marinda na yeye (it’s a joke). Wazungu wana namna zao za kuwalinda watu dhaifu kuelewa inabidi ujue progapanda zinazotumika na ni hatari.

Hayo matatizo kwa sasa ayatatuliki kwa mbinu zilizopo.
 
Take it or leave it; bila ya mtu mwenye uelewa wa 360 degrees ya kupambana na hayo mambo hayaishi.

Hiyo vita kushinda 75% ni media propaganda sera ni asilimia ndogo sana na inahitajika mikakati ya wizara kadhaa.

Tatizo la msingi ni kwamba nchi aina uwezo wa watu kuongoza.
 
Tuambizane ukweli nachukulia huu uzi kukosa wachangiaji ni kwamba kwa JF hakuna watu wenye strategic thinking za kupambana na social issues.

Hila watu hao hao wapo tayari kulaumu taasisi zingine kwenye mada zingine illogically.

We need diaspora huo ndio uhalisia wenyewe kama mada chokozi kama hii wakosoaji ya nini kufanyike kupambana na hizi inhumane abuse zinayoendelea.

Wote tunaona, wengi wetu atupendezewi na asilimia kubwa hatuna majibu ya kupambana na hayo matatizo.

Kwangu mie God bring us another Magufuli.
 
Kesho utakuta mada watu wanalalamika amongst the issue ambazo nimeleta hapa tujadili tutafute suluhisho.

Soma sasa huo mjadala wa watanzania kuhusu hiyo topic; ujinga mtupu.

Ni hivi you need diaspora kila kitu huko hao watu wamejufunza strategic approaches ya ku deal nayo.

Bahati mbaya natumia simu; ningekuwa kwenye laptop kwenye files zangu ningeweka module ya topic husika (with marking criteria) ya kutumia case study ya safeguarding kuhusu issue yoyote yanayo sababishsa mauaji not many of the so called wataalamu awawezi kuja na analytical arguments ata wakipewa Nyenrode let alone kila mwenye degree kama anajua kufanya research anatakiwa kuja na similar conclusions.

Nimejipa jukumu la kuwaponda watanzania hamna uwezo wengi mna elimu ya kukariri tu but not analytical.

Kusikiliza ujinga wenu inataka uvumilivu kweli yaani ni ujinga ujinga tu kila siku kusoma.
 
Umafia wa serikali unamaanisha nini? usijekuwa unatengeneza tatizo moja kwa kudhani unatafuta suluhu ya tatizo lingine.
 
Umafia wa serikali unamaanisha nini? usijekuwa unatengeneza tatizo moja kwa kudhani unatafuta suluhu ya tatizo lingine.
Ndio ugumu ulipo hapo kwenye propaganda ye hayo mambo.

Kuna wasaa serikali zinatengeneza mazingira kuna makosa fulani ataukiwekwa jela basi kutokana na unyama wake (wanao uuza wa hilo kosa kwenye kupitia media; kuna emotional manipulation hapo and using the five sense effectively kuonyesha hayo makosa hayana msamaha na wahusika sio watu wazuri) hiyo sasa ni vita ya kuelewa kutumia media.
 
Mtu mwenye kaliba ya JPM,ndiye anafaa kupunguza au kumaliza tatizo la kishenzishenzi kwenye jamii na awe kwenye levo kubwa Kama ile ya Urais,akiwa kwenye levo ndogo,atatumbuliwa na wanasiasa wa juu yake.
 
Mtu mwenye kaliba ya JPM,ndiye anafaa kupunguza au kumaliza tatizo la kishenzishenzi kwenye jamii na awe kwenye levo kubwa Kama ile ya Urais,akiwa kwenye levo ndogo,atatumbuliwa na wanasiasa wa juu yake.
Ngumu sana kwa watu wengi kukuelewa.

Magufuli katoa somo kwa atakaefuta nyayo; usiache kufukia shimo ukiamua.
 
Back
Top Bottom