Wezi wawili wakiungua moto mbagala kwa Mangaya - Tutaendelea kujichukulia sheria mkononi hadi lini

Bora walivyouawa maana makafiri huziponda sharia za M/Mungu kwamba mwizi mwanamme/mwanamke wote wakatwe viganja vya mikono.
sasa upi ukatili kuua ama kumkata mkono? nahitaji jibu lenu makafiri wote
 
Wanaiba na kujeruhi. Polisi wanawafahamu. Wakikamatwa na evidence wakipelekwa polisi nusu saa wako nje tena wanaenda kutafuta wabaya wao na kuwaumiza zaidi. Mbona PM wako alisema wapigwe tuu.
 
10292142_626801474079125_8675300846181144242_n.jpg

wezi wawili wakiungua moto mbagala kwa mangaya


siwezi kuamini kama:
  • viongozi wa serikali za mitaa
  • wapenda mungu
  • wenye utu
  • wanaoheshimu haki za binadamu
  • wenye kujali usilotaka kutendewa usimtendee mwingine nk
wanaweza kujichukulia sheria mkononi bila huruma. Pengine walichokiiba hawa vibaka wawili ni pipi huku adhabu ni kuondoa uhai wao bila huruma na hadharani wakishuhudiwa na waliowasulubu.

hao ndio watakaorithi ufalme wa baba kwa kuondoa wauwaji wezi ...soma wakorintho 22://
 
[Q

Sina tatizo na jambazi la bastola kuchomwa kwa sasa, lakini mwizi wakawaida tu ambae kanyofoa sijui cheni ama kapanda ukuta kuanua nguo uani kwa mtu; kwakeli swala la kuchomwa moto ni punishment iliyopitiliza.
 
[Q

Sina tatizo na jambazi la bastola kuchomwa kwa sasa, lakini mwizi wakawaida tu ambae kanyofoa sijui cheni ama kapanda ukuta kuanua nguo uani kwa mtu; kwakeli swala la kuchomwa moto ni punishment iliyopitiliza.

Kwwn izo nguo na Chen n vyake?? Kavitolea jasho?? Subir siku ukikitana nao chocho ndo utajua watu wanamaanisha nn!!
 
hakika hujawahi kuibiwa wewe
Ni sawa kama tungeanza kuwachoma moto vibaka wakuu nchini kina rostam aziz, idi simba et al. Sasa mtu anaiba kuku kwa njaa kutokana na uongozi mbaya wa uchumi wa taifa tunamkatia hukumu ya kifo!
 
waiii
ukitendwa na wezi... wakakurudisha nyuma hatua kadhaa ndo utajua nini utamu wa kuchukua sheria mkononi. Tushachokaaa
 
Safi sana wizi unauma sana nimeguswa nimekumbuka pikipiki yangu walioniibia bado mpya 2012 safi sana wanalert watu down cn kwa hesabu zangu hadi leo ningekuwa nshanyanyua mjengo ila nomeishia kuhangaika na polisi ila atakeiona ani pm iliibiwa lushoto T586 BXA T better
 
Hata kama lakin hvyo!!! Unashuhudia binamu mwenzio anaungua kama kuni!! bado umeganda kama unaangalia kombe la dunia. Wanamakosa ndio lakin kwa hyo hali inaumiza sana.
 
My heart goes out their family members! Hakuna mzazi/ndugu anayependa mwanae awe mwizi. Kila mtu anapozaa hua na taraja lakua siku moja mtoto wake atakua na kua mtu fulani kwa faida ya familia na jamii kwa ujumla. Na ikitokea mtoto huyo akawa tofauti na matarajio ya mzazi/jamii kama kibaka, teja au hata jambazi basi siku zote maombi ya mzazi ni kua siku moja aone mwanae akibadilika kwa kuacha tabia mbaya na kua mtu wa kuwajibika kwa maisha yake, familia yake na jamii kwa ujumla. Hakuna kitu kinamaumivu kwa mzazi/ndugu kuona mwanao au ndugu yako yuko kwenye hali hiyo na juhudi zote za kumsaidia zimeshindikana na huna la kufanya na zaidi sana usikie ameuawa kinyama mikononi mwa majirani zako kwa sababu alitaka kuwaibia au alishawaibia labda fedha au simu. Maisha ya vijana wadogo yanakatishwa kinyama sana na jamii kwa sababu ambazo kwa kweli haziendani na adhabu wanazopata.......:A S cry::A S cry::A S cry::A S cry:......so sad
 
Na mie hilo limenishangaza sana, watoto wanatolea macho kama wanaangalia kitu cha kawaida sanaa, sijui wazazi/walezi hawaoni kama hiyo ni shida kwa watoto kama hao jamani, hata hao watu wazima tu yaani kama vile wanaangalia sinema, kwa tuliowahi kuibiwa/kuumizwa na waizi/vibaka inaumiza kwa kweli, lakini kufikia hapo ni ishu nyingine aisee, watu wana roho za ajabu mie hata kuangaliaga tu mwizi akirushiwa jiwe siwezi kabisa!
Sure thing. Hii inaonyesha society ilivyokuwa degraded morally.......Ni wazi kwamba hao watu wazima hapo hawaoni tatizo kwa mtoto kuangalia jamba kama hilo.
 
Wanachokosea hawa jamaa kuwaibia maskini wenzao. Unamwibia mwenzako naye kachoka.
 
Usifananishe vibaka na Majambazi!! kwa majambazi kwanza mwananchi wa kawaida kumdaka ni shughuli ila walamba unga wepesi tu..

Mkuu ujambazi huanzia kwenye u-kibaka! Ukishafuzu ndo unapanda daraja!! Wachomwe tu!!
 
Back
Top Bottom