Nemesis
JF-Expert Member
- Feb 13, 2008
- 5,401
- 4,212
Kwa mujibu wa taarifa ya habari ya bbc swahili (Dira ya Dunia) Ikulu ya Rais wa Afrika kusini imevamiwa na wezi ambao wa wamefanikiwa kuiba. Inadaiwa kwamba waya wa ulinzi, uliondolewa bila polisi, maafisa usalama wa ikulu na walinzi maalumu wa ikulu kujua.
This is terrible, vipi kuhusu ikulu yetu? nadhani hili litatushtua kama tulikuwa katika usingizi.
Vipi usalama wa wananchi na watu wengine huko S.A kama wezi wanafanikiwa kuiba ikulu? Hatari tupu.
This is terrible, vipi kuhusu ikulu yetu? nadhani hili litatushtua kama tulikuwa katika usingizi.
Vipi usalama wa wananchi na watu wengine huko S.A kama wezi wanafanikiwa kuiba ikulu? Hatari tupu.