Wezi watumia bomba la kinyesi kuiba fedha benki

Miss Zomboko

JF-Expert Member
May 18, 2014
4,495
9,275
Wezi watumia mabomba ya kinyesi kuiba hela benki
MASHIRIKA Na PETER MBURU

WEZI nchini Ubelgiji walishangaza taifa na ulimwengu baada ya kutumia mitaro na mabomba ya maji taka na kinyesi kusafiri hadi benki moja, ambapo waliiba pesa zisizojulikana kiwango chake.

Wezi hao wanasemekana kutumia mabomba hayo, ya upana wa sentimita 40 kupitia chini ya ardhi hadi eneo ambapo pesa zinahifadhiwa katika benki iliyo karibu na wilaya ya Antwerp Diamond Trading.

Polisi walifahamishwa kuhusu tukio hilo na walipofika eneo panapohifadhiwa pesa ndani ya benki hiyo, japo mlango ulikuwa umefungwa, boksi 30 za pesa zilikuwa zimeibwa.

Hata hivyo, bado polisi hawajatangaza kiwango cha pesa ambacho wezi hao waliondoka nacho.

Maafisa wanaosimamia maji na usafi wa mazingira mji huo, hata hivyo, walisema kuwa wezi hao walihatarisha maisha yao sana kwa kutumia mbinu hiyo.

“Kwanza kabisa, kuchimba shimo ili kutokezea katika mabomba ya kusafirisha uchafu ilikuwa hatari kwani kulikuwa na uwezekano wa ardhi kuporomoka. Ndani ya mabomba hayo ya uchafu, kuna hatari nyingi kama hewa chafu inayotoka ndani ya uchafu huo,” akasema Els Liekens, wa kampuni ya maji.

Wateja wa benki hiyo walighadhabishwa na hali ya benki kutowafahamisha kuhusu kisa chenyewe, wengine wakidai kuwa boksi hizo zilikuwa zimehifadhi hazina zao za maisha.

“Watu wengi hawahifadhi pesa na vifaa vya utajiri pekee, bali pia vitu vya kifamilia,” akasema mmoja wao.

Wizi wa aina hiyo ambao ulitokea nchini Ufaransa mnamo 1976 uliwafanya wezi kuishi kwa miezi wakichimba ndani ya mabomba ya kusafirisha uchafu, kisha baadae wakaiba mamilioni ya pesa pamoja na mali iliyokuwa ndani ya boksi 200.


Taifaleo
 
Wezi watumia mabomba ya kinyesi kuiba hela benki
MASHIRIKA Na PETER MBURU

WEZI nchini Ubelgiji walishangaza taifa na ulimwengu baada ya kutumia mitaro na mabomba ya maji taka na kinyesi kusafiri hadi benki moja, ambapo waliiba pesa zisizojulikana kiwango chake.

Wezi hao wanasemekana kutumia mabomba hayo, ya upana wa sentimita 40 kupitia chini ya ardhi hadi eneo ambapo pesa zinahifadhiwa katika benki iliyo karibu na wilaya ya Antwerp Diamond Trading.

Polisi walifahamishwa kuhusu tukio hilo na walipofika eneo panapohifadhiwa pesa ndani ya benki hiyo, japo mlango ulikuwa umefungwa, boksi 30 za pesa zilikuwa zimeibwa.

Hata hivyo, bado polisi hawajatangaza kiwango cha pesa ambacho wezi hao waliondoka nacho.

Maafisa wanaosimamia maji na usafi wa mazingira mji huo, hata hivyo, walisema kuwa wezi hao walihatarisha maisha yao sana kwa kutumia mbinu hiyo.

“Kwanza kabisa, kuchimba shimo ili kutokezea katika mabomba ya kusafirisha uchafu ilikuwa hatari kwani kulikuwa na uwezekano wa ardhi kuporomoka. Ndani ya mabomba hayo ya uchafu, kuna hatari nyingi kama hewa chafu inayotoka ndani ya uchafu huo,” akasema Els Liekens, wa kampuni ya maji.

Wateja wa benki hiyo walighadhabishwa na hali ya benki kutowafahamisha kuhusu kisa chenyewe, wengine wakidai kuwa boksi hizo zilikuwa zimehifadhi hazina zao za maisha.

“Watu wengi hawahifadhi pesa na vifaa vya utajiri pekee, bali pia vitu vya kifamilia,” akasema mmoja wao.

Wizi wa aina hiyo ambao ulitokea nchini Ufaransa mnamo 1976 uliwafanya wezi kuishi kwa miezi wakichimba ndani ya mabomba ya kusafirisha uchafu, kisha baadae wakaiba mamilioni ya pesa pamoja na mali iliyokuwa ndani ya boksi 200.


Taifaleo
thats is essence of capitalism as everything is for sale and everthing is for hustling whether good or bad.
 
Wezi watumia mabomba ya kinyesi kuiba hela benki
MASHIRIKA Na PETER MBURU

WEZI nchini Ubelgiji walishangaza taifa na ulimwengu baada ya kutumia mitaro na mabomba ya maji taka na kinyesi kusafiri hadi benki moja, ambapo waliiba pesa zisizojulikana kiwango chake.

Wezi hao wanasemekana kutumia mabomba hayo, ya upana wa sentimita 40 kupitia chini ya ardhi hadi eneo ambapo pesa zinahifadhiwa katika benki iliyo karibu na wilaya ya Antwerp Diamond Trading.

Polisi walifahamishwa kuhusu tukio hilo na walipofika eneo panapohifadhiwa pesa ndani ya benki hiyo, japo mlango ulikuwa umefungwa, boksi 30 za pesa zilikuwa zimeibwa.

Hata hivyo, bado polisi hawajatangaza kiwango cha pesa ambacho wezi hao waliondoka nacho.

Maafisa wanaosimamia maji na usafi wa mazingira mji huo, hata hivyo, walisema kuwa wezi hao walihatarisha maisha yao sana kwa kutumia mbinu hiyo.

“Kwanza kabisa, kuchimba shimo ili kutokezea katika mabomba ya kusafirisha uchafu ilikuwa hatari kwani kulikuwa na uwezekano wa ardhi kuporomoka. Ndani ya mabomba hayo ya uchafu, kuna hatari nyingi kama hewa chafu inayotoka ndani ya uchafu huo,” akasema Els Liekens, wa kampuni ya maji.

Wateja wa benki hiyo walighadhabishwa na hali ya benki kutowafahamisha kuhusu kisa chenyewe, wengine wakidai kuwa boksi hizo zilikuwa zimehifadhi hazina zao za maisha.

“Watu wengi hawahifadhi pesa na vifaa vya utajiri pekee, bali pia vitu vya kifamilia,” akasema mmoja wao.

Wizi wa aina hiyo ambao ulitokea nchini Ufaransa mnamo 1976 uliwafanya wezi kuishi kwa miezi wakichimba ndani ya mabomba ya kusafirisha uchafu, kisha baadae wakaiba mamilioni ya pesa pamoja na mali iliyokuwa ndani ya boksi 200.


Taifaleo
Hilo ni balaa wakija Bongo kinyesi chake hao wezi wanakufa fasta

Sent using Jamii Forums mobile app
 
UBELGIJI-1.jpg



WEZI nchini Ubelgiji walilishangaza taifa hilo na ulimwengu baada ya kutumia mitaro na mabomba ya maji taka na kinyesi kusafiri hadi kwenye Tawi la Benki ya BNP Paribas Fortis, ambapo waliiba pesa zisizojulikana kiwango chake.


UBELGIJI-2.jpg






Wezi hao wanasemekana kutumia mabomba hayo ya upana wa sentimita 40 kupitia chini ya ardhi hadi eneo ambapo pesa zinahifadhiwa katika benki iliyo karibu na wilaya ya Antwerp Diamond Trading.


UBELGIJI-3.jpg






Polisi walifahamishwa kuhusu tukio hilo na walipofika eneo panapohifadhiwa pesa ndani ya benki hiyo, japo mlango ulikuwa umefungwa, masanduku 30 ya pesa yalikuwa yameibwa.





UBELGIJI-4-665x1024.jpg






Hata hivyo, bado polisi hawajatangaza kiwango cha pesa ambacho wezi hao waliondoka nacho. Maofisa wanaosimamia maji na usafi wa mazingira mji huo, hata hivyo, walisema kuwa wezi hao walihatarisha maisha yao kwa kutumia mbinu hiyo.





UBELGIJI-5.jpg






“Kwanza kabisa, kuchimba shimo ili kutokezea katika mabomba ya kusafirisha uchafu ilikuwa hatari kwani kulikuwa na uwezekano wa ardhi kuporomoka. Ndani ya mabomba hayo ya uchafu, kuna hatari nyingi kama hewa chafu inayotoka ndani ya uchafu huo,” alisema Els Liekens ofisa wa kampuni ya maji.


UBELGIJI-6.jpg






Wateja wa benki hiyo walighadhabishwa na hali ya benki kutowafahamisha kuhusu kisa chenyewe, wengine wakidai kuwa masanduku hayo yalikuwa yamehifadhi hazina zao za maisha.


UBELGIJI-7.jpg









“Watu wengi hawahifadhi pesa na vifaa vya utajiri pekee, bali pia vitu vya kifamilia,” alisema mmoja wao.


UBELGIJI-8-682x1024.jpg






Wizi wa aina hiyo ambao ulitokea nchini Ufaransa mnamo mwaka 1976 uliwafanya wezi kuishi kwa miezi wakichimba ndani ya mabomba ya kusafirisha uchafu, kisha baadaye wakaiba mamilioni ya pesa pamoja na mali iliyokuwa ndani ya masanduku 200.





UBELGIJI-9.jpg
 
Wezi watumia mabomba ya kinyesi kuiba hela benki
MASHIRIKA Na PETER MBURU

WEZI nchini Ubelgiji walishangaza taifa na ulimwengu baada ya kutumia mitaro na mabomba ya maji taka na kinyesi kusafiri hadi benki moja, ambapo waliiba pesa zisizojulikana kiwango chake.

Wezi hao wanasemekana kutumia mabomba hayo, ya upana wa sentimita 40 kupitia chini ya ardhi hadi eneo ambapo pesa zinahifadhiwa katika benki iliyo karibu na wilaya ya Antwerp Diamond Trading.

Polisi walifahamishwa kuhusu tukio hilo na walipofika eneo panapohifadhiwa pesa ndani ya benki hiyo, japo mlango ulikuwa umefungwa, boksi 30 za pesa zilikuwa zimeibwa.

Hata hivyo, bado polisi hawajatangaza kiwango cha pesa ambacho wezi hao waliondoka nacho.

Maafisa wanaosimamia maji na usafi wa mazingira mji huo, hata hivyo, walisema kuwa wezi hao walihatarisha maisha yao sana kwa kutumia mbinu hiyo.

“Kwanza kabisa, kuchimba shimo ili kutokezea katika mabomba ya kusafirisha uchafu ilikuwa hatari kwani kulikuwa na uwezekano wa ardhi kuporomoka. Ndani ya mabomba hayo ya uchafu, kuna hatari nyingi kama hewa chafu inayotoka ndani ya uchafu huo,” akasema Els Liekens, wa kampuni ya maji.

Wateja wa benki hiyo walighadhabishwa na hali ya benki kutowafahamisha kuhusu kisa chenyewe, wengine wakidai kuwa boksi hizo zilikuwa zimehifadhi hazina zao za maisha.

“Watu wengi hawahifadhi pesa na vifaa vya utajiri pekee, bali pia vitu vya kifamilia,” akasema mmoja wao.

Wizi wa aina hiyo ambao ulitokea nchini Ufaransa mnamo 1976 uliwafanya wezi kuishi kwa miezi wakichimba ndani ya mabomba ya kusafirisha uchafu, kisha baadae wakaiba mamilioni ya pesa pamoja na mali iliyokuwa ndani ya boksi 200.


Taifaleo
Habari ilkua nzuri tu mpaka pale nlipoona cm 40,ai wezi walikua toddlers nini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom