Wezi wa mali za Umma na J. Nassari nani anahatarisha amani Tanzania?

Mediocre characters that dont merit my response.
Wakuu tafuteni size yenu ya vijana wa darasa la saba, au kama wale wabunge wenu wa arusha.

Yawezekana si size yetu labda kwa kuwa unafaidi keki ya Taifa, hivyo unaona watu watakaoelewa haki yao basi na keki yako iko hatarini. Lakini pia huna uzalendo na nchi yetu. Tofautisha kauli ya Mh. Nassari kuwa ikiwa 1, 2, 3 hayatafanyika tunaweza kufanya 1, 2, 3 . Wezi wa EPA NA WAHUJUMU UCHUMI wamekwisha kuiba na kuhujumu uchumi wetu lakini Jeshi la polisi hata siku moja hatujawasikia wakiwahoji hawa jamaa ambao ni hatari kwa uchumi wa nchi na hasa kizazi kijacho nchi itakuwa imebaki mifupa tu. Unadhani mwanao hataathirika? Ona mbali mkuu, "Use Eagle Eyes".
 
ukihoji sana utaambiwa mafisadi wanatakiwa kushughurikiwa na porisi kanda maarumu Dar es Saramu arusha hawahusiki.
 
Wewe ndiyo kilaza wa kutupa! Hivi hujui kwamba sentensi ya kwanza kabisa katika Utangulizi (Preamble) ya PCCB Act ya 2007 inatamka wazi wazi kwamba ufisadi unaweza kuhatarisha amani na utulivu wa nchi? Nenda kaisome kilaza wee!!


Mzee wa madevu: Ngoja nikusaidie, sehemu husika ya sheria hiyo ni hii hapa:


THE PREVENTION AND COMBATING OF CORRUPTION ACT

ACT No. 11 OF 2007


PREAMBLE



WHEREAS corruption is an obstacle to principles of democracy, good governance and human rights and poses a threat to peace, tranquillity and security in the society;

AND WHEREAS the Government has resolved to undertake protracted
measures that would ensure that Tanzania remain a corruption free State adhering tothe principles of freedom, equality, justice, brotherhood, peace and wherein all people are equal and every person has a right to ownership and protection of property acquired by lawful means;

AND WHEREAS technological changes ushered in by globalization and
development of science in communication and information technology has made it

necessary to re-institute the Bureau, to devise modern tactics and strategies of
preventing and combating corruption, and to review the current legal framework for the purposes……….
 
Back
Top Bottom