LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,348
- 3,216
Wale wezi waliotajwa majuzi kuiba madini yenye thamani ya mabilioni ya Tsh wametiwa nguvuni jana na police wakisadiana na raia kwa namna ya pekee! Wezi hao wamekamatwa katika kijiji cha jirani kabisa na makazi ya machimbo yalipo na wale wenzangu wanaoijua vizuri hapo Mererani ni wamekamatwa pale kijiji cha Naisinyai. Alikuwa amefukia madini yote ardhini na kupanda mboga juu yake,lakini polisi walipofika walinyookea pale pale mzigo ilipokuwa. Na mpaka sasa ni zaidi ya watu 19 wameshashikiliwa kwa upelelezi zaidi
Kwa kweli huyu aliyekamatwa ni mzembe katika wazembe wote yeye ndiyo wa kwanza na katika wajinga yeye ndiyo nambari wani.
UPDATES
Kesi inaendelea tarehe 17/12/2012 na imeahirishwa mpaka trh 19/12/2012
NITARUSHA YAJIRIO MWANZO MWISHO!
Kwa kweli huyu aliyekamatwa ni mzembe katika wazembe wote yeye ndiyo wa kwanza na katika wajinga yeye ndiyo nambari wani.
UPDATES
Kesi inaendelea tarehe 17/12/2012 na imeahirishwa mpaka trh 19/12/2012
NITARUSHA YAJIRIO MWANZO MWISHO!