Ya Mramba na Yona lini?
Ndo serikali ya CCM hiyo iliyoamua wezi wa hela zetu (Malanda) na wenzake kufungwa miaka 3 sie wezi wa kuku maisha sijui usawa uko wapi, eti ushahidi haukuwatia hatiani kweli?
Ni Hakimu Mkazi Kisutu (Fatuma Masengi) ndiye aliyewahukumu kwenda jela miaka mitatu. Na ni mtu na binamu yake, Rajab Maranda na Farijala Hussein. Katika moja ya hatua ya kesi hiyo, watuhumiwa hao pia walifutiwa shitaka moja kati ya mashitaka saba waliyotuhumiwa nayo. Shitaka lililofutwa ni la wizi wa zaidi ya shs. 600mil. za benki kuu, ni kwamba ushahidi hakuna.
Steve Dii siku hizi kawa news breaker