Mmoja wa watuhumiwa kwenye kesi ya EPA, Farijala, amehukumiwa kifungo. Habari zaidi baadae kidogo...
Tangu zamani ndio kazi yake hiyoSteve Dii siku hizi kawa news breaker
Unaweza kusikia kesho kutwa katoka msamaha wa raisi kwa kisingizio mgonjwa.Basi ujue huyo alikuwa na bifu binafsi na mkuu wa kaya, si bure!
Changa la macho hilo!
Haya majina hata siyakumbuki,unajuwa ile ssue imo humu inside out.Hawa watu role yao ilikuwa ipi kwenye EPA?Ni Hakimu Mkazi Kisutu (Fatuma Masengi) ndiye aliyewahukumu kwenda jela miaka mitatu. Na ni mtu na binamu yake, Rajab Maranda na Farijala Hussein. Katika moja ya hatua ya kesi hiyo, watuhumiwa hao pia walifutiwa shitaka moja kati ya mashitaka saba waliyotuhumiwa nayo. Shitaka lililofutwa ni la wizi wa zaidi ya shs. 600mil. za benki kuu, ni kwamba ushahidi hakuna.