Wezi kwa bodaboda Vijibweni waliouawa hilo ndio suluhisho

ibanezafrica

JF-Expert Member
Oct 23, 2014
7,261
6,543
Kwa jinsi nilivyosikia story hii kupitia redio na magazeti wale vijana watatu kupora handbag na kukimbia na Pikipiki na hatimaye wananchi wenye hasira kwa kushirikiana na vijana Wa bodaboda walifanikiwa kuwadhibiti na kumaliza mchezo!

Yaani hii ikitokea Mara NNE, tano maeneo tofauti ya jiji uporaji huu utabaki story!pia zoezi hill lifanyike kwa makundi ya wahalifu mfano panya road watu waache woga waungane kuwakabili na kuwamaliza,kweli amani itakuwepo kila atakayefikiria kufanya matukio hayo itabidi kujiuliza Mara sabaNchi za kiarabu wezi hakuna na ukithubutu utakamatwa na cha moto utakiona.
 
Bodaboda wengi ni wezi utumia wa kutumia bodaboda au kushirikiana na wezi
 
Ogopa sana ukikutana na boxer au pikipiki yoyote ambayo haina side mirrors au side mirrors zake zimekunjwa kuelekea ndani yaani kwenye siti ya dereva hasa wakati wa usiku.
 
Ikumbukwe Mh Linda alitoa machozi pale bungeni aliposema atakayethibitika kanyofoa/kaua albino apewe adhabu ya kifo...dah alizongwa sana kwa kauli hiyo hàdi akaomba radhi...lkn Mzee alikua sahihi kabisa
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom