Doyi
JF-Expert Member
- Dec 4, 2011
- 1,427
- 1,475
Sisi ni vijana tumeamua kuunda mfumo wa kusajili wanafunzi wa vyuoni,sekondari na taasisi mbalimbali za kielimu kwa njia ya on line na tayari system imekamilika almost kwa 100%.Lengo hasa ni kupunguza msongamano wa watu kipindi cha usajili katka taasisi husika na kumwezesha mwanachuo au mwanafunzi kuanza masomo cku ya kwanza afikapo chuo kwa kuwa taratibu za usajili anakuwa kamaliza mtandaoni.Tovuti yetu ni StudyTZ.COM Tunachahtaj ni wadhamini (kampuni,mtu binafsi au shirika lolote)katka gharama za kuendesha tovuti hii mana tunahtaj kununua space,mambo ya kumaintain domain na database kubwa ya kustore data na gharama nyinginezo .Kwa kuwa muda si mrefu itakuwa ni biashara kubwa hvo tunaomba wadhamini na watakuwa pia ni wamiliki katka mtandao huu.Kwa maulizo zaid 0716650756au 0714074040au email ni info@studytz.com asanteni