Boniface Evarist
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 1,147
- 512
Jaman rais wa nchi si Mungu. Na siasa ina kanuni ya biashara. Ushindani ndo sera yenyewe, hapa nchi 2nababaishwa sana na Tanesco kwa kuwa hawana washindani. Chukulia mfano kipindi kile TTCL ndo ilikuwa kampun pekee ya mawasiliano! Mambo yalikuwa ovyo na hayavutii atleast wakaja mobitel, celtel, vodacom, zantel, sasatel n.k hakuna asiyejua jinsi Tanzania
sasa mawasiliano ni bwelele, siku watu wa South Africa wanatu
beep tuliopo Tz. I mean kwamba tuache kufikilia
habari za EL au Membe bali tujikite kuuimarisha
upinzani usimame na uchukue awamu ndipo
tuone tunaenda wapi? CCM ni wez, mafisadi, wasiojar wananchi na
kila ubaya wao
wanaona poa tu kwa kuwa hawajaona
wenzao wanaongozaje
the same nation. Nani kakuroga wewe Mtanzania mwenzangu
mpaka hutaki kuelewa maana ya vyama vya
upinzani? Please
nakuomba tafakari na
amua kuikomaza nchi yetu kisiasa. I mean it, naumia sana hasa na
utawala wa JK. Hivi unaogopa nini kuipa mwelekeo CHADEMA?
CUF? PONA? NCCR? PPT
n.k.
Binafsi nataka
CHADEMA WAJARIBU
KUONGOZA NDIPO IJE ITOKEE CCM Tena wakijipanga na kuwakosoa CHADEMA.
Ref. North AMERICA republican and
democratic mambo si yale! Nani kakuroga
wewe huitakii mema Tanzania?
NAKUOMBA WEZESHA CHADEMA 2015, SHAWISHI WENZIO POPOTE UWAPO 2WAPE LIKIZO CCM ANGALAU AKILI ZAO ZIPUMZIKE!
sasa mawasiliano ni bwelele, siku watu wa South Africa wanatu
beep tuliopo Tz. I mean kwamba tuache kufikilia
habari za EL au Membe bali tujikite kuuimarisha
upinzani usimame na uchukue awamu ndipo
tuone tunaenda wapi? CCM ni wez, mafisadi, wasiojar wananchi na
kila ubaya wao
wanaona poa tu kwa kuwa hawajaona
wenzao wanaongozaje
the same nation. Nani kakuroga wewe Mtanzania mwenzangu
mpaka hutaki kuelewa maana ya vyama vya
upinzani? Please
nakuomba tafakari na
amua kuikomaza nchi yetu kisiasa. I mean it, naumia sana hasa na
utawala wa JK. Hivi unaogopa nini kuipa mwelekeo CHADEMA?
CUF? PONA? NCCR? PPT
n.k.
Binafsi nataka
CHADEMA WAJARIBU
KUONGOZA NDIPO IJE ITOKEE CCM Tena wakijipanga na kuwakosoa CHADEMA.
Ref. North AMERICA republican and
democratic mambo si yale! Nani kakuroga
wewe huitakii mema Tanzania?
NAKUOMBA WEZESHA CHADEMA 2015, SHAWISHI WENZIO POPOTE UWAPO 2WAPE LIKIZO CCM ANGALAU AKILI ZAO ZIPUMZIKE!