je hali kama hii ikikutokea ghafla huko bush ninicha kufanya?
Wakati unasali nae atakua anasali kumshukuru Mungu kwa kumpa msosi kirahiiisihapo ningesali sala zangu za mwisho ...hakuna njia nyingine
Kwi kwi kwi! unadhani nimependa kuwa kuku? hali halisi mkuu inalazimisha kuwa hivyo. Washirikina ni hao walionifanya niwe kuku.Chakaza umekuwa mchawi siku hizi eh? Mbona umegeuka kuku? Unajua ushirikina haufai chakaza!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!