SIZA MPANDA
Member
- Apr 4, 2012
- 5
- 0
Watu wako kwenye semina wakaanza kujitambulisha. Wa kwanza " Mimi naitwa Anna niko mwaka wa kwanza Muhimbili Medical Center nasomea medicine". Wa pili "Mimi naitwa Davy niko mwaka wa 3 Mzumbe University nasoma sheria". Wa tatu akajitambulisha naye kuwa ' Naitwa Cosmas niko TANESCO nasoma MITA!!!!!!!!!!!!!! Watu UKumbini hoi.