Wewe unasoma nini?

SIZA MPANDA

Member
Apr 4, 2012
5
0
Watu wako kwenye semina wakaanza kujitambulisha. Wa kwanza " Mimi naitwa Anna niko mwaka wa kwanza Muhimbili Medical Center nasomea medicine". Wa pili "Mimi naitwa Davy niko mwaka wa 3 Mzumbe University nasoma sheria". Wa tatu akajitambulisha naye kuwa ' Naitwa Cosmas niko TANESCO nasoma MITA!!!!!!!!!!!!!! Watu UKumbini hoi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom