Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,319
- 33,125
umasikin si kilema
Umasikini ni kilema. Tena kilema kikubwa sana zaidi ya kilema unachofikiria wewe.
Angalia ni walemavu wangapi wenye pesa wanaoishi katika hali bora ya maisha. Hawafikirii chochote juu ya ulemavu wao. Ukiwaona majukwaani wanaongelea ulemavu wa viungo ni kujiona tu wana kasoro katika miili yao. Haiwaathiri chochote katika maisha.
Masikini hana muda wa kuabudu,kukaa na familia yake, kujichanganya katika starehe na hata kupanga utaratibu wa kula.