Wewe unapendelea kuvaa saa aina gani ya Mkononi?

Ni Rolex Submariner Boss nadhani hapo kila kitu kinaonekana.... Kuhusu Bei siwezi kujua Zaidi.. Ila Niletewa zawadi.

Ungeweka na part number yake ndio inakua rahisi zaidi kuitambua.

Ila jua tu mkuu Rolex submariner ya pesa ndogo kabisaa inaanzia kuuzwa kwa bei ya $5000 yaani kama Million 11 na ushee za kitanzania.

So kama mtu alikupa zawadi ya saa yenye thamani ya pesa hio mthamini sana.
 
Ungeweka na part number yake ndio inakua rahisi zaidi kuitambua.

Ila jua tu mkuu Rolex submariner ya pesa ndogo kabisaa inaanzia kuuzwa kwa bei ya $5000 yaani kama Million 11 na ushee za kitanzania.

So kama mtu alikupa zawadi ya saa yenye thamani ya pesa hio mthamini sana.
Part No. Ndiyo ipi hiyo Mkuu.. Ni ile inayokuwa Pembeni.. Au ile iliyopo kwenye Mkanda..
Na kuhusu Kumheshimu aliyenipa hii Saa.. namheshimu sana.. siyo saa tu.. ni vingi amenipa na Amefanya Vikubwa vya Thamani kwangu... Kuna wakati tunagombana.. Ila kwa kuwa kila mtu anafahamu umuhimu wa Mwenzake.. Tunajishusha na Maisha yanaendelea kawaida..
 
Ngoja niwape presha wapenda saa wenzangu....

Angalieni bei hizi

Screenshot_20191007-121425.jpeg
Screenshot_20191007-121442.jpeg
Screenshot_20191007-121456.jpeg
Screenshot_20191007-121529.jpeg
Screenshot_20191007-121600.jpeg
Screenshot_20191007-121628.jpeg
Screenshot_20191007-121650.jpeg
Screenshot_20191007-121719.jpeg
Screenshot_20191007-121750.jpeg
Screenshot_20191007-121923.jpeg
Screenshot_20191007-121939.jpeg
Screenshot_20191007-122005.jpeg
 
Part No. Ndiyo ipi hiyo Mkuu.. Ni ile inayokuwa Pembeni.. Au ile iliyopo kwenye Mkanda..
Na kuhusu Kumheshimu aliyenipa hii Saa.. namheshimu sana.. siyo saa tu.. ni vingi amenipa na Amefanya Vikubwa vya Thamani kwangu... Kuna wakati tunagombana.. Ila kwa kuwa kila mtu anafahamu umuhimu wa Mwenzake.. Tunajishusha na Maisha yanaendelea kawaida..

Hio safi sana mkuu.,all the best.

Ni ile iliyopo pale kwny ile sehemu ya mikanda ya saa.
 
Back
Top Bottom