Sio msukuma, watu wa Mara ndio wako hivyo, natupiamo, nakujako, nipeko ndio zao.Unatumiamo??!!Msukuma utamjua tu kiswahili chake
Sio msukuma, watu wa Mara ndio wako hivyo, natupiamo, nakujako, nipeko ndio zao.Unatumiamo??!!Msukuma utamjua tu kiswahili chake
Tatizo zote ni fake yaani Copy!View attachment 399097
mi ninazo hata na za kuuza kama hizo kuanzia 200k
Jipendezeshe na vitu vizuri tutafutane kwa anayehitaj
Raphael, hata ya ukutani pia?Kati ya vitu sina muda nao ni saa ya mkononi
Simu zote mbili zina saa sasa kutembea na rundo la mzigo ni kwamba huamini saa zako zote tatu.Raphael, hata ya ukutani pia?
Original?
Naomba kufahamishwa bei za hii mikato mkuu.
Hii kitu noma sana
Kwani ww mwanafunzi wa Sekondari?Ya plastik rangi nyeusi
Hii saa naweza kuipata wapi bossCasio marine gear