Nokla
JF-Expert Member
- Aug 12, 2012
- 3,164
- 1,696
Mimi nakumbuka haya wewe je?
1.Kung'olewa jino kwa uzi
2.Kicheza huku umeshikilia kaptula kisa kifungo kimetoka
3.Kunyolewa msalaba shulen kisa nywele ndefu
4.Kukata ndala eti kifutio
5.Kuoga nje
6.Kuchonga penseli kwa meno
7.Kidonda kuweka unga wa rangi mbili
8.Kunyolewa kwa mkasi
9.Ku-rewind mkanda kwa peni
..........................
Wewe je?
1.Kung'olewa jino kwa uzi
2.Kicheza huku umeshikilia kaptula kisa kifungo kimetoka
3.Kunyolewa msalaba shulen kisa nywele ndefu
4.Kukata ndala eti kifutio
5.Kuoga nje
6.Kuchonga penseli kwa meno
7.Kidonda kuweka unga wa rangi mbili
8.Kunyolewa kwa mkasi
9.Ku-rewind mkanda kwa peni
..........................
Wewe je?