Mrisho com
JF-Expert Member
- May 2, 2015
- 3,892
- 3,913
Kwakweli ndani ya miaka miwili au mitatu iliyopita tulipata kushuhudia vimbwanga vya kila aina, kuna muda unakaa unavitamani kuvisikia tena lakini ndio hivyo hakuna namna.
Toka hapo ulipo nenda Dodoma utakutana na aliekuwa spika wakati huo akijinasibu ya kwamba "atake asitake lazima tumuongezee muda". Huyuhuyu alileta ushuhuda wa Yesu akiwa na mkewe walikosa pa kulala huko Israel.
Wapo walikokuja kujinasib kama wao ndio watu wanaokula raha duniani na nyie wengine kubaki watazamaji na si wasindikizaji.
Hatukuishia hapo, kuna mmoja wetu alifikia mbali kabisa na kumfananisha na Yesu ili mradi kutengeneza mapambio ya kusifu baada ya vitu vya kusifia kumuishia.
Nenda kwa mlima pilipili hoho,alifikia hatua ya kutaka kuwatandika viboko wa staafu kwa sababu tu za kuingiliq mipango ya watu.
Yote tisa,wapo waliojinasibu kwamba waliokotwa majalalni wakila uchafu wakiwa hawana mbele wala nyuma nao hawakusita kuleta ushuhuda wao.
"WEWE UNAKUMBUKA NINI, TUKUMBUSHANE TU MAANA MAISHA MAFUPI HAYA""
Toka hapo ulipo nenda Dodoma utakutana na aliekuwa spika wakati huo akijinasibu ya kwamba "atake asitake lazima tumuongezee muda". Huyuhuyu alileta ushuhuda wa Yesu akiwa na mkewe walikosa pa kulala huko Israel.
Wapo walikokuja kujinasib kama wao ndio watu wanaokula raha duniani na nyie wengine kubaki watazamaji na si wasindikizaji.
Hatukuishia hapo, kuna mmoja wetu alifikia mbali kabisa na kumfananisha na Yesu ili mradi kutengeneza mapambio ya kusifu baada ya vitu vya kusifia kumuishia.
Nenda kwa mlima pilipili hoho,alifikia hatua ya kutaka kuwatandika viboko wa staafu kwa sababu tu za kuingiliq mipango ya watu.
Yote tisa,wapo waliojinasibu kwamba waliokotwa majalalni wakila uchafu wakiwa hawana mbele wala nyuma nao hawakusita kuleta ushuhuda wao.
"WEWE UNAKUMBUKA NINI, TUKUMBUSHANE TU MAANA MAISHA MAFUPI HAYA""