Umemtamani mpenzi wako au umempenda??Umevutika kwake kwa sababu,ana miguu mizuri?Au ni englishfigure?Au ni handsome au ni tajiri,au ana makalio mazuri,au ana rangi nzuri,au anatoka famij tajiri,au umechaguliwa na wazazi?Kama uko na huyo unaemuita mpenzi wako kwa moja kati ya sababu hizi au nyingine za kufanana na hizo wewe ni fake tena fake!!!!Hizo sababu ambazo hazina mashiko,zikiondoka hizo sababu anakosa maana,TAFAKARI