Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 18,260
- 33,857
Kutokana na mambo mbali mbali yanayotokea kwenye siasa za nchi yetu nimeona niulize hili swali.
Wewe kama Mtanzania mwenye akili timamu unaamini kuwa bila ya Chama Cha Mapinduzi kuwa madarakani nchi ya Tanzania haitakuwa salama. Kwa nini unaamini hivyo?
Wewe kama Mtanzania mwenye akili timamu unaamini kuwa bila ya Chama Cha Mapinduzi kuwa madarakani nchi ya Tanzania haitakuwa salama. Kwa nini unaamini hivyo?