Misd yuu tuu dada.
Ila hizi ban mbona zimekwa za hovyo nauadeizi?
bila shaka ulitaka kusema dubu. dubu hajambo. anakupenda sana AD.
Itabidi nifanye utafiti.... Nifanye kikao na Paw aniambie kulikoni... Si unajua sasa hivi sipo mara nyingi napitwa.... walau wewe tupo woote hapa.... I like that. Tell me what did I miss?
Nyie wapendwa.... NAWASALIMU..... Nahisi Niliwa MISS....:smile-big:
Tusiombeane mabaya. hakuna mkamilifu hata mmoja. huruma za invisible zinawafanya mjione mnafuata sheria. habari yako MN?
ulimiss ban ya miezi mitatu niliyokula, afu nikafanya makeke ikawa lifted.
Ila hii mimod uchwara sijui nani kaipa madaraka ya kupiga ban?
Kuna limoja kule jukwaa la michezo lilizingua mpaka kero...
Aaagh!
Tumekumiss pia Asha Dii, upo weye...mie uchumi mgumu nakosa bando ya kuingilia JF bana....si unajua shilingi imeshuka thamani
Big SISY Missingu u too bana!!!!!!!Nyie wapendwa.... NAWASALIMU..... Nahisi Niliwa MISS....:smile-big:
Pole Mphamvu.... are you telling me all Mods are after you?? Kweli hapo hata mimi nitakua bega kwa bega na wewe kukata rufaa!